Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
- Thread starter
- #21
Kumbe virungu tu Leteni hayo mabomu ya Gongo la Mboto...Police arusha wamejiandaa kuwakabili wafuasi wa chadema wanaotaka kwenda kusikiliza kesi inayowakabili viongozi wao leo
Nawasihi wafuasi wa CDM wasienda maana virungu vya police vitawaumiza