Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,892
- 32,308
Ingorance is bliss...proven to be a silent Actor
Ingorance is bliss...proven to be a silent Actor
Ingorance is bliss...
Ukiwa mshabiki wa magamba akili huwa inahamia kwenye makalio yani unakua unaikalia.Wewe huoni kuwa JK na serikali yake ndo waliohusika.Polis si wa serikali? polisi waliwaua watu mbali na eneo la kituo wakiwa wanakimbia kujihami wewe kwa kuwa ni mshabiki wa magamba hulioni hilo! ok umeuliza kuwa waliouawa wakiulizwa wanashabikia nin,watasemaje! Watasema cdm.Heri wewe umegundua utokako na uendako,hivi wale waliokufa kwa ushawishi wa kijinga leo hii kama tukiwapelekea meseji ya nini kinaendelea halafu tuwahuishe na tuwape kadi za chadema unafikiri watazikubali? hiyo ndio mission town, watu wanaishi kwa migongo ya watu.wewe kufa mimi nisurvive. watu watashawishiwa kufanya maandamano haramu ili wajanja wapate la kusema na wajinga waishie selo au kufa.
Chama kilichojiita eti cha demokrasia na maendeleo, kimebainika kuwa hakina demokrasia yoyote. Kwenye maandamano ya Arusha walishawishi watu kuingia mtaani kusaka haki zao (mimi sikuenda kazini ili nishiriki kikamilifu)
mbunge tuliyemuamini sana Godless Lema akasisitiza kuwa ni heri kufa ukiwa unapigania haki yako kuliko kufa kwa malaria au typhoid (ushahidi ninao).
Mary chatanda alitupiwa lawama akionekana ndiye tatizo, na watanzania wengi tukalazimishwa kuamini hivyo bila kujua upande wa pili kuwa viongozi wa kitaifa wa chadema walikuwa sehemu ya tatizo.
Chadema walitumia kigezo cha Marry Chatanda kupiga kura kuharamisha matokeo, wakati wao walimtumia Lucy Owenya wa Moshi mjini kupiga kura kumchagua m/kiti wa halmashauri ya HAI.
Jamani huu ni unafiki usiomithilika. Yani kutujaza ujinga wakati mnaujua ukweli ni dhambi hata mbele ya Mwenyezi Mungu.
Lakini kilichonisikitisha zaidi ni kuona eti chadema wamekubali matokeo ya umeya wa Arusha kwa kushauriwa na Kohler.
Huku ni kuzisaliti roho za mashujaa wetu waliotupigania, na kuwakatisha tamaa wananchi tuliokuwa nyuma yenu.
Nasisitiza kuwa ikiwa CHADEMA wataendelea hivi, chama hiki kitakufa NATURAL DEALTH.
Ukiwa na jambo la msingi ndugu yangu usikamie sana kuliongea kwa maana ww pekee ndio una uchungu au wajua
Demokrasia ya kweli, Je Mzee Mandela angeamua kukomaa leo ingekuwaje, Angalia kenya na Zanzibari pia. Ukweli uko
pale pale Serikali ya CCm wanabaka Demokrasia kwa matakwa yao na ndio matokeo ya Arusha maana Hoja ya Muafaka Pinda
ametuma waraka wa kuomba ili kesi yake bungeni iishe asiumbuke.
Suala la Lucy Owenya, uchaguzi wa Arusha ndio ulianza na CCM wakaleta hao mamluki, Catherine Magige wa Longido, Namelok Sokoine
wa Monduli na mary Chatanda wa tanga sababu wao hizi kanuni ndio walikuwa wazijua, CDM ikabidi itafute namna ya kubalance vote ndio
maana ikaingia na yenyewe kwenye hili la Hai na Arusha. Sasa ngoma inayopigwa ni ya CDM zaidi ya CCM si sawa huu mchezo ndio ulivyokuwa.
Waziri akijibu swali bungeni huwa anaongelea kama vile wao walivyomleta nasi hivyo hivyo ushenzi mtupu wana CCM.
Ukiwa mshabiki wa magamba akili huwa inahamia kwenye makalio yani unakua unaikalia.Wewe huoni kuwa JK na serikali yake ndo waliohusika.Polis si wa serikali? polisi waliwaua watu mbali na eneo la kituo wakiwa wanakimbia kujihami wewe kwa kuwa ni mshabiki wa magamba hulioni hilo! ok umeuliza kuwa waliouawa wakiulizwa wanashabikia nin,watasemaje! Watasema cdm.
sihamii CCM wala CUF. Nitaendelea kubaki CHADEMA, lakini nitasimamia ukweli daima.
Sasa naamini kile nilichokuwa nadhania kwa muda mrefu tangu nijiunge na CHADEMA, kuwa chama hiki hakitetei maslahi ya umma, bali kinatumia nguvu ya umma kutetea maslahi ya wachache (viongozi ambao wengi wao ni wachaga).Nashukuru kuwa umetamka mwenyewe kuwa CHADEMA walikuwa wanataka madaraka Arusha, na si kutetea wananchi. Mnaua wananchi, mtamuongoza nani.? Kama mmeua watatu jwa kupigania umeya, kwenye urais si mtaua nusu ya TANZANIA?? Demokrasia gani hiyo ya kinafiki.?Hoja zako ni mufilisi ndugu yangu. Eti ulitaka wananchi wa arusha waendelee kuteseka? Kwani wakati mnayafanya hayo hamkujua mtawatesa wananchi?? That is weak argument. WANAFIKI WAKUBWA nyie!
When fighting in a war retreat should be concidered as a stratergy to win. I take the reconcilliation as a reatreat from face to face engangement in a battle...The war is very much on..lets not hamper the spirit of fighting for true democracy...aluta continua.....Chama kilichojiita eti cha demokrasia na maendeleo, kimebainika kuwa hakina demokrasia yoyote. Kwenye maandamano ya Arusha walishawishi watu kuingia mtaani kusaka haki zao (mimi sikuenda kazini ili nishiriki kikamilifu)
mbunge tuliyemuamini sana Godless Lema akasisitiza kuwa ni heri kufa ukiwa unapigania haki yako kuliko kufa kwa malaria au typhoid (ushahidi ninao).
Mary chatanda alitupiwa lawama akionekana ndiye tatizo, na watanzania wengi tukalazimishwa kuamini hivyo bila kujua upande wa pili kuwa viongozi wa kitaifa wa chadema walikuwa sehemu ya tatizo.
Chadema walitumia kigezo cha Marry Chatanda kupiga kura kuharamisha matokeo, wakati wao walimtumia Lucy Owenya wa Moshi mjini kupiga kura kumchagua m/kiti wa halmashauri ya HAI.
Jamani huu ni unafiki usiomithilika. Yani kutujaza ujinga wakati mnaujua ukweli ni dhambi hata mbele ya Mwenyezi Mungu.
Lakini kilichonisikitisha zaidi ni kuona eti chadema wamekubali matokeo ya umeya wa Arusha kwa kushauriwa na Kohler.
Huku ni kuzisaliti roho za mashujaa wetu waliotupigania, na kuwakatisha tamaa wananchi tuliokuwa nyuma yenu.
Nasisitiza kuwa ikiwa CHADEMA wataendelea hivi, chama hiki kitakufa NATURAL DEALTH.
elimu ya watu wazima alihudhuria mama yako maana alikuzaa hajui kusoma. You young boy, never ever try to compare my thinking capicity with your foolish idea.You idiot, it's better to keep quet and peope to think that you are foolish, rather than to speak and remove all doubts.hapo kwenye red uliwahi kuhudhuria elimu ya watu wazima? au wewe ni mwehu
Chama kilichojiita eti cha demokrasia na maendeleo, kimebainika kuwa hakina demokrasia yoyote. Kwenye maandamano ya Arusha walishawishi watu kuingia mtaani kusaka haki zao (mimi sikuenda kazini ili nishiriki kikamilifu)
mbunge tuliyemuamini sana Godless Lema akasisitiza kuwa ni heri kufa ukiwa unapigania haki yako kuliko kufa kwa malaria au typhoid (ushahidi ninao).
Mary chatanda alitupiwa lawama akionekana ndiye tatizo, na watanzania wengi tukalazimishwa kuamini hivyo bila kujua upande wa pili kuwa viongozi wa kitaifa wa chadema walikuwa sehemu ya tatizo.
Chadema walitumia kigezo cha Marry Chatanda kupiga kura kuharamisha matokeo, wakati wao walimtumia Lucy Owenya wa Moshi mjini kupiga kura kumchagua m/kiti wa halmashauri ya HAI.
Jamani huu ni unafiki usiomithilika. Yani kutujaza ujinga wakati mnaujua ukweli ni dhambi hata mbele ya Mwenyezi Mungu.
Lakini kilichonisikitisha zaidi ni kuona eti chadema wamekubali matokeo ya umeya wa Arusha kwa kushauriwa na Kohler.
Huku ni kuzisaliti roho za mashujaa wetu waliotupigania, na kuwakatisha tamaa wananchi tuliokuwa nyuma yenu.
Nasisitiza kuwa ikiwa CHADEMA wataendelea hivi, chama hiki kitakufa NATURAL DEALTH.
Nakubaliana na mawazo yako ka kiasi kikubwa, but legal procedures haziruhuru kutafuta HAKI yako KWA KUVUNJA HAKI ZA WENGINE.Halafu jambo la pili, mbona CHADEMA hawataki kusema ukweli kuhusu kumtumia LUCY OWENYA kupiga kura Hai wakati jimbo lake ni Moshi mjini?Kama Chatanda alivunja taratibu za kisheria kupiga kura Arusha, basi hata Owenya alivunja kwa kupiga kura Hai.Kwanini la Owenya halikuonekana tatizo bt la Chatanda likavaliwa njuga? Jibu sahihi ni kuwa yalikuwepo maslahi ya kisiasa nyuma ya pazia. CHADEMA walikuwa na uchu wa madaraka na si nia ya kweli ya kuwasaidia wakazi wa Arusha.Mimi sina undani wa sakata hili, lakini on the face of it kama taratibu za kisheria zilivunjwa kwa kumweka Chitanda kupiga kura, ilibidi walisimamie kufa na kupona because it involves a point of law!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!