[h=6]Taarifa hii nimeitoa kwenye ukurasa wa facebook wa KILEWO.
CHADEMA Dar es salaam tumeathirika na mgomo unaoendelea wa Madaktari kwa kuondokewa na kiongozi wetu wa tawi la Banana ambaye alikuwa ni mwenyekiti wa tawi hilo Bw Benard kiwele. kamanda alipata ajali ya piki piki na kukimbizwa hospital ya Muhimbili na kukosa huduma za kimatibabu hivyo kumpelekea kupoteza maisha usiku wa kuamkia 26/01/2012.
CHADEMA Kanda maalum ya Dar es salaam tunatoa pole kwa familia zote zilizopoteza ndugu zao kwa mgomo huwo wa madaktari uliyosababishwa na uzembe wa serikali ya CCM kushindwa kutimiza wajibu wao katika kuwalipa watumishi hawo. Siku ya kesho kwenye mkutano wetu wa hadhara utakaofanyika kigogo Tutatoa tamko Rasmi la Chama kanda hii ya Dar es salaam kuhusiana na mgomo huwo na athari zilizojitokeza mpaka sasa. japokuwa madai hayo ya msingi tulikwisha yasemea kwa muda mrefu kupitia kwa katibu wetu mkuu Dr Slaa juu ya athari zitakazo jitokeza kutokana na migomo mbalimbali inayoendelea hapa nchini......... mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema..... amen[/h]LikeUnlike · ·Unfollow PostFollow Post · Share · 18 minutes ago
CHADEMA Dar es salaam tumeathirika na mgomo unaoendelea wa Madaktari kwa kuondokewa na kiongozi wetu wa tawi la Banana ambaye alikuwa ni mwenyekiti wa tawi hilo Bw Benard kiwele. kamanda alipata ajali ya piki piki na kukimbizwa hospital ya Muhimbili na kukosa huduma za kimatibabu hivyo kumpelekea kupoteza maisha usiku wa kuamkia 26/01/2012.
CHADEMA Kanda maalum ya Dar es salaam tunatoa pole kwa familia zote zilizopoteza ndugu zao kwa mgomo huwo wa madaktari uliyosababishwa na uzembe wa serikali ya CCM kushindwa kutimiza wajibu wao katika kuwalipa watumishi hawo. Siku ya kesho kwenye mkutano wetu wa hadhara utakaofanyika kigogo Tutatoa tamko Rasmi la Chama kanda hii ya Dar es salaam kuhusiana na mgomo huwo na athari zilizojitokeza mpaka sasa. japokuwa madai hayo ya msingi tulikwisha yasemea kwa muda mrefu kupitia kwa katibu wetu mkuu Dr Slaa juu ya athari zitakazo jitokeza kutokana na migomo mbalimbali inayoendelea hapa nchini......... mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema..... amen[/h]LikeUnlike · ·Unfollow PostFollow Post · Share · 18 minutes ago
-
https://www.jamiiforums.com/# Brian Lemnge R.I.P 14 minutes ago · LikeUnlike
-
https://www.jamiiforums.com/# Salvatory Mkami R.I.P KAMANDA 13 minutes ago · LikeUnlike
-
https://www.jamiiforums.com/# Ben Bravo 'Junior Hii inasikitisha sana kwa nchi iliyoweza Kuthubutu, kuweza na kusonga mbele.
Poleni sana makamanda wote wa CHADEMA. Tupo pamoja kwenye janga hili. 12 minutes ago · LikeUnlike · 1
-
https://www.jamiiforums.com/# Dionis Bundara RIP. 10 minutes ago · LikeUnlike
-
https://www.jamiiforums.com/# Evelyne Meena Damn Ccm kipofu,R.I.P kamanda wetu tutakukumbuka daima. 9 minutes ago · LikeUnlike
-
https://www.jamiiforums.com/# Anass Al-Barwani poleni sana kw msiba na kw uzeembe w hali ya juuu 9 minutes ago · LikeUnlike
-
https://www.jamiiforums.com/# Brian Lemnge R.I.P 14 minutes ago · LikeUnlike