Chadema Katavi-soma hii

ngonani

JF-Expert Member
Aug 27, 2012
1,366
596
Nimefika Mpanda kwa ajili ya mazishi ya askofu wetu Mpendwa Kikoti,nikiwa Mpanda nimefanya utafiti wa uhai wa vyama vya CHADEMA na CCM.Nikianza na CCM pamoja na kuwa waziri mkuu anatoka eneo ili na anaheshimiwa sana,lakini wakazi wengi hawataki hata kuisikia CCM, kwa Mpanda ni kama CCM haipo kabisa,hata ukipita jengo lao la CCM siku za kazi uatgundua kwamba ni ghost ofice,vyumba vingi vimefungwa na hakuna kinachoendelea kabisa,kila sehemu bendera za CHADEMA zinapepea kila eneo.Hata hivyo kinachosikitisha ni kwamba pamoja na kwamba watu wa hapa wana mahaba sana na CHADEMA na jimbo liko chini ya mbunge SAID ALFI wa CHADEMA,cha kwanza CHADEMA haina ofisi yoyote inayotambuliwa,hata kama mtu ana shida ya kadi au kuchangia chama hajui pa kwenda,kwa jinsi CHADEMA inavyopendwa ilibidi wawe na ofisi yenye hadhi.

Nimeelezwa kuwa mbunge wa hapa kaisha amua kuwa 2015 hataki tena kujaribu hivyo hana muda na uhai wa chama jimboni na inasemekana ameisha hamia Dar kwa kisingizio cha afya yake yenye mgogoro na hana mpango wa kurudi Mpanda,alidanganya wanachi kuwa amewanunulia gari la wagonjwa lakinini kumbe ni gari bovu na tangia amelileta miaka miwiwli iliyopita limepaki mbele ya nyumba yake hata rangi limeisha pauka.Wananchi wnadai ilikuwa ni changa la macho.

CHADEMA makao makuu fanyeni hima kuimarisha majimbo ambayo tayari yako mikononi mwenu kwa kimarisha chama na kujenga ofisi,vinginevyo mtaja pokonywa haya majimbo kwa kukosa umakini.Said Arfi hana interest tena na Mpanda kwani alichotaka amepata na hana mpango wa kugombea tena hivyo hajali hata kama jimbo likirudi CCM.Jengeni ofisi na anzeni kuandaa mtu kwa ajili ya 2015.
 
Moja wapo ya makosa ya msingi ambayo chadema inayafanya nikuto kuweka au kuanzisha ofisi za majimbo! Amini msiamini wana chadema wenzangu hili ni kosa la kiufundi wala hatuhitaji kujitetea kwa hili bali kuchukua hatua madhubuti na kutembea juu ya kauli.

Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums
 
CDM makao makuu tulifanyieni kazi hili fasta. kwanza inatakiwa tuwe tumeshaandaa mtu wa kutufanyia kazi kule fasta wananchi wajue kabisa kuwa mrithi wa Alfi yupo, CDM hii nafasi tusiiache jamani, tuendelezeni mapambano kote kote.



Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waliondoe madarakani hili li serikali la ccm MAONGO/MAFISADI/MAJAMBAZI/WAUAJI.
 
nampongeza mtoa habari, naona ametoa taarifa za kujenga chama, kazi kwa cdm kurekebisha kasoro hizi

viva cdm
 
Saidi Arfi ataondolewa akitaka asitake. Hii ni chokono imeanza.

Zitto, Safari, wangoje siku yao.

Jinsi haya mauaji ya chadema yanavyoendelea kuna kila sababu za hawa watu kutokukubalika kwani wao hawana imani ya kuuwa.
 
Saidi Arfi ataondolewa akitaka asitake. Hii ni chokono imeanza.

Zitto, Safari, wangoje siku yao.

Jinsi haya mauaji ya chadema yanavyoendelea kuna kila sababu za hawa watu kutokukubalika kwani wao hawana imani ya kuuwa.
Tangu ukabidhiwe mgodi wa Tanzanite na biashra ya kusafirisha twiga na faru umejenga sana kiburi ndio maana Jakaya na Saidi Mwema wanatoa amri ya ua ua wewe huoni yana mwisho nchi hii siyo ya mama yako yetu sote tafakari
 
Tangu ukabidhiwe mgodi wa Tanzanite na biashra ya kusafirisha twiga na faru umejenga sana kiburi ndio maana Jakaya na Saidi Mwema wanatoa amri ya ua ua wewe huoni yana mwisho nchi hii siyo ya mama yako yetu sote tafakari

Ya mama yako wewe.
 
Mbona povu linakutoka we kibudu?...

quote_icon.png
By Froida


Tangu ukabidhiwe mgodi wa Tanzanite na biashra ya kusafirisha twiga na faru umejenga sana kiburi ndio maana Jakaya na Saidi Mwema wanatoa amri ya ua ua wewe huoni yana mwisho nchi hii siyo ya mama yako yetu sote tafakari

Na huo ni nini ? uharo?
 
Hili la ofisi si Mpanda tu hata hapa Dar, maeneo mengi hayana ofisi za CHADEMA, ningeshauri hivi, pamoja na mambo mengine ya wabunge, lakini wahamasishe watu kwenye maeneo yao wafungue matawi, ukweli kinachotakiwa na hamasa kidogo tu watu wako tayari kulipia ofisi kwa gharama zao na kukiendesha chama.
 
well said, inapopita m4c inatakiwa kuwe na maandalizi ya kesho inakuwaje.
 
Moja wapo ya makosa ya msingi ambayo chadema inayafanya nikuto kuweka au kuanzisha ofisi za majimbo! Amini msiamini wana chadema wenzangu hili ni kosa la kiufundi wala hatuhitaji kujitetea kwa hili bali kuchukua hatua madhubuti na kutembea juu ya kauli.

Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums


Pesa za kuendeshea ofisi zinatolewa na makao makuu kwa kila mkoa, wilaya na jimbo. Sehemu yoyote isiyo na ofisi wanaotakiwa kulaumiwa ni viongozi wa mkoa, wilaya au jimbo. Mimi kama mwanachama nimeshiriki uanzishaji wa ofisi ktk majimbo manne!. Kila mwanachama ana wajibu wa kufanya kazi hii.
 
Nimefika Mpanda kwa ajili ya mazishi ya askofu wetu Mpendwa Kikoti,nikiwa Mpanda nimefanya utafiti wa uhai wa vyama vya CHADEMA na CCM.Nikianza na CCM pamoja na kuwa waziri mkuu anatoka eneo ili na anaheshimiwa sana,lakini wakazi wengi hawataki hata kuisikia CCM, kwa Mpanda ni kama CCM haipo kabisa,hata ukipita jengo lao la CCM siku za kazi uatgundua kwamba ni ghost ofice,vyumba vingi vimefungwa na hakuna kinachoendelea kabisa,kila sehemu bendera za CHADEMA zinapepea kila eneo.Hata hivyo kinachosikitisha ni kwamba pamoja na kwamba watu wa hapa wana mahaba sana na CHADEMA na jimbo liko chini ya mbunge SAID ALFI wa CHADEMA,cha kwanza CHADEMA haina ofisi yoyote inayotambuliwa,hata kama mtu ana shida ya kadi au kuchangia chama hajui pa kwenda,kwa jinsi CHADEMA inavyopendwa ilibidi wawe na ofisi yenye hadhi.

Nimeelezwa kuwa mbunge wa hapa kaisha amua kuwa 2015 hataki tena kujaribu hivyo hana muda na uhai wa chama jimboni na inasemekana ameisha hamia Dar kwa kisingizio cha afya yake yenye mgogoro na hana mpango wa kurudi Mpanda,alidanganya wanachi kuwa amewanunulia gari la wagonjwa lakinini kumbe ni gari bovu na tangia amelileta miaka miwiwli iliyopita limepaki mbele ya nyumba yake hata rangi limeisha pauka.Wananchi wnadai ilikuwa ni changa la macho.

CHADEMA makao makuu fanyeni hima kuimarisha majimbo ambayo tayari yako mikononi mwenu kwa kimarisha chama na kujenga ofisi,vinginevyo mtaja pokonywa haya majimbo kwa kukosa umakini.Said Arfi hana interest tena na Mpanda kwani alichotaka amepata na hana mpango wa kugombea tena hivyo hajali hata kama jimbo likirudi CCM.Jengeni ofisi na anzeni kuandaa mtu kwa ajili ya 2015.

Ndugu acha uongo ,mengine nakubaliana na wewe kiasi fulani,ila juu ya gari la wagonjwa ckubaliani na wewe,mbona lipo barabarani siku zote hata leo nimeliona!?ni ki hiace.
 
Saidi Arfi ataondolewa akitaka asitake. Hii ni chokono imeanza.

Zitto, Safari, wangoje siku yao.

Jinsi haya mauaji ya chadema yanavyoendelea kuna kila sababu za hawa watu kutokukubalika kwani wao hawana imani ya kuuwa.

pumpkin head:thumbdown::thumbdown:
 
Ndugu acha uongo ,mengine nakubaliana na wewe kiasi fulani,ila juu ya gari la wagonjwa ckubaliani na wewe,mbona lipo barabarani siku zote hata leo nimeliona!?ni ki hiace.

kwani hujui propaganda?
Hadithi imeanza na maziko ya askofu. . . .read between the lines.
Jambo la kuwa na ofisi za jimbo halikwepeki, na ni jambo muhimu. Japo yanayoendelea kufungua matawi na ofisi za kata na wilaya ni jambo la msingi sana.

Mkumbuke wabunge wanajitolea ku rent au hata kijenga ofisi zao, sio CHADEMA tu, hata wabunge wa CCM wanafanya the same.

sio kila kitu kifanywe na chama, hata halmashauri zinaweza kujitolea jengo. . .kumbuka mbunge ni wa wote sio wa chadema tu.

naona kuna ***** wa limumba kashaingia hapa na mambo yake ya udini.
 
Nimefika Mpanda kwa ajili ya mazishi ya askofu wetu Mpendwa Kikoti,nikiwa Mpanda nimefanya utafiti wa uhai wa vyama vya CHADEMA na CCM.Nikianza na CCM pamoja na kuwa waziri mkuu anatoka eneo ili na anaheshimiwa sana,lakini wakazi wengi hawataki hata kuisikia CCM, kwa Mpanda ni kama CCM haipo kabisa,hata ukipita jengo lao la CCM siku za kazi uatgundua kwamba ni ghost ofice,vyumba vingi vimefungwa na hakuna kinachoendelea kabisa,kila sehemu bendera za CHADEMA zinapepea kila eneo.Hata hivyo kinachosikitisha ni kwamba pamoja na kwamba watu wa hapa wana mahaba sana na CHADEMA na jimbo liko chini ya mbunge SAID ALFI wa CHADEMA,cha kwanza CHADEMA haina ofisi yoyote inayotambuliwa,hata kama mtu ana shida ya kadi au kuchangia chama hajui pa kwenda,kwa jinsi CHADEMA inavyopendwa ilibidi wawe na ofisi yenye hadhi.

Nimeelezwa kuwa mbunge wa hapa kaisha amua kuwa 2015 hataki tena kujaribu hivyo hana muda na uhai wa chama jimboni na inasemekana ameisha hamia Dar kwa kisingizio cha afya yake yenye mgogoro na hana mpango wa kurudi Mpanda,alidanganya wanachi kuwa amewanunulia gari la wagonjwa lakinini kumbe ni gari bovu na tangia amelileta miaka miwiwli iliyopita limepaki mbele ya nyumba yake hata rangi limeisha pauka.Wananchi wnadai ilikuwa ni changa la macho.

CHADEMA makao makuu fanyeni hima kuimarisha majimbo ambayo tayari yako mikononi mwenu kwa kimarisha chama na kujenga ofisi,vinginevyo mtaja pokonywa haya majimbo kwa kukosa umakini.Said Arfi hana interest tena na Mpanda kwani alichotaka amepata na hana mpango wa kugombea tena hivyo hajali hata kama jimbo likirudi CCM.Jengeni ofisi na anzeni kuandaa mtu kwa ajili ya 2015.

CDM changamoto hiyo na msifanya utani. It is an opportunity. Fanyeni hima mkaimarishe kule haraka iwezekanavyo. 2015 mnatakiwa nchi nzima muwe mumeimarika ifikapo 2014.
 
Unategemea utaona nini zaidi cha CCM? wakati wewe ni gwanda! Sijui uliona barabara iliyokufikisha huko?
 
Back
Top Bottom