Nimefika Mpanda kwa ajili ya mazishi ya askofu wetu Mpendwa Kikoti,nikiwa Mpanda nimefanya utafiti wa uhai wa vyama vya CHADEMA na CCM.Nikianza na CCM pamoja na kuwa waziri mkuu anatoka eneo ili na anaheshimiwa sana,lakini wakazi wengi hawataki hata kuisikia CCM, kwa Mpanda ni kama CCM haipo kabisa,hata ukipita jengo lao la CCM siku za kazi uatgundua kwamba ni ghost ofice,vyumba vingi vimefungwa na hakuna kinachoendelea kabisa,kila sehemu bendera za CHADEMA zinapepea kila eneo.Hata hivyo kinachosikitisha ni kwamba pamoja na kwamba watu wa hapa wana mahaba sana na CHADEMA na jimbo liko chini ya mbunge SAID ALFI wa CHADEMA,cha kwanza CHADEMA haina ofisi yoyote inayotambuliwa,hata kama mtu ana shida ya kadi au kuchangia chama hajui pa kwenda,kwa jinsi CHADEMA inavyopendwa ilibidi wawe na ofisi yenye hadhi.
Nimeelezwa kuwa mbunge wa hapa kaisha amua kuwa 2015 hataki tena kujaribu hivyo hana muda na uhai wa chama jimboni na inasemekana ameisha hamia Dar kwa kisingizio cha afya yake yenye mgogoro na hana mpango wa kurudi Mpanda,alidanganya wanachi kuwa amewanunulia gari la wagonjwa lakinini kumbe ni gari bovu na tangia amelileta miaka miwiwli iliyopita limepaki mbele ya nyumba yake hata rangi limeisha pauka.Wananchi wnadai ilikuwa ni changa la macho.
CHADEMA makao makuu fanyeni hima kuimarisha majimbo ambayo tayari yako mikononi mwenu kwa kimarisha chama na kujenga ofisi,vinginevyo mtaja pokonywa haya majimbo kwa kukosa umakini.Said Arfi hana interest tena na Mpanda kwani alichotaka amepata na hana mpango wa kugombea tena hivyo hajali hata kama jimbo likirudi CCM.Jengeni ofisi na anzeni kuandaa mtu kwa ajili ya 2015.
Nimeelezwa kuwa mbunge wa hapa kaisha amua kuwa 2015 hataki tena kujaribu hivyo hana muda na uhai wa chama jimboni na inasemekana ameisha hamia Dar kwa kisingizio cha afya yake yenye mgogoro na hana mpango wa kurudi Mpanda,alidanganya wanachi kuwa amewanunulia gari la wagonjwa lakinini kumbe ni gari bovu na tangia amelileta miaka miwiwli iliyopita limepaki mbele ya nyumba yake hata rangi limeisha pauka.Wananchi wnadai ilikuwa ni changa la macho.
CHADEMA makao makuu fanyeni hima kuimarisha majimbo ambayo tayari yako mikononi mwenu kwa kimarisha chama na kujenga ofisi,vinginevyo mtaja pokonywa haya majimbo kwa kukosa umakini.Said Arfi hana interest tena na Mpanda kwani alichotaka amepata na hana mpango wa kugombea tena hivyo hajali hata kama jimbo likirudi CCM.Jengeni ofisi na anzeni kuandaa mtu kwa ajili ya 2015.