- Thread starter
- #21
Lema. Arumeru zote mbili hakuna lami kwasababu ya uhuni wa ccm kuchumia tumbo, Wananchi wa bangata mnaamuka asubuhi saa kumi na moja kutembea kilometa 5 kwenda na kurudi inakuwa kilometa 10 wakati arusha mjini kwa sasa kuna barabara za lami kila mahali kwa kipindi kifupi sana, sasa nyie kwa miaka hamsini ccm wamewafanyia nini? Makamanda tufanye kweli, mimi kule daraja mbili na subiri tu siku ya mwisho wananchi wakamshudie diwani wao akitangazwa.