combra
Senior Member
- May 28, 2012
- 130
- 31
Huku Rufiji jiji cha Mloka kuna vyama viwili tu vinavyojulika (ccm na cuf) chadema hawakijui,Ila wananchi wa Mloka wamechoka na vyama hivyo wanaisubiri kwa hamu M4c ifike huku.Fanyeni hima viongozi wa chadema mje mloka mnasubiriwa kwa hamu mje kufungua tawi.wanachama ni wengi sana