NGENDA NGOLOMA
Member
- Feb 18, 2012
- 23
- 10
Nafurahia sana jinsi chama changu kinavyokua hasa katika kipindi hiki cha Mageuzi ya dhati yanayoratibiwa na CDM, wito wangu ni kuwa pamoja na mafanikiwa makubwa ya CDM katika Maeneo mengi, bado chama hiki pendwa na mvuto hakijaweka mizizi imara katika majimbo mawili ya Bariadi ambako ndiko makao makuu ya mkoa mpya wa Simiyu yalipo.
Hasa ikizingatiwa kuwa katika uchaguzi mkuu 2010, chadema iliambulia patupu katika majimbo haya na kumuacha ''Mzee wa Vijisenti'' na '' Bw. Mapesa'' wakinawili kwa pasipo hata kupiga Kampeini za Maana. Hivyo nawaomba Chama pendwe na makini kuimarisha mikakati na kung'oa mizizi ya Ukoo wa Chenge achilia mbali kwa MOMOSE, Cheyo John anaeonekana kiatu kumpwaya 2015.
Swali, Mzee wa Vijisenti ana ubavu wa Kutosha kuhimili mikikimikiki ya M4C a.k.a People's pooooooooooower!!!, Lakini pia CDM wana ubavu wa dhati kupambana na mzee huyu wa sheria?
Hasa ikizingatiwa kuwa katika uchaguzi mkuu 2010, chadema iliambulia patupu katika majimbo haya na kumuacha ''Mzee wa Vijisenti'' na '' Bw. Mapesa'' wakinawili kwa pasipo hata kupiga Kampeini za Maana. Hivyo nawaomba Chama pendwe na makini kuimarisha mikakati na kung'oa mizizi ya Ukoo wa Chenge achilia mbali kwa MOMOSE, Cheyo John anaeonekana kiatu kumpwaya 2015.
Swali, Mzee wa Vijisenti ana ubavu wa Kutosha kuhimili mikikimikiki ya M4C a.k.a People's pooooooooooower!!!, Lakini pia CDM wana ubavu wa dhati kupambana na mzee huyu wa sheria?