Elections 2010 chadema karatu washangilia na nguo za ccm

kitalolo

JF-Expert Member
Dec 4, 2006
1,827
707
baada ya matokeo ya kulibakiza jimbo la karatu wafuasi wa chadema walijitokeza kila kona kushangilia ushindi huo lakini cha ajabu walikuwa na bendera na wengine wamevaa mavazi ya ccm zikiwemo kofia tshart kanga na fulana mambo yalikuwa yalikuwa yakushanga kweli kweli baadhi ya wageni na wapita njia walisha kuelewa nani kashinda na kulitokea mkanganyiko wa hali ya juu maana kwahakika kwa tuliokuwa tunafwatilia mwenendo wa matokeo na hata hitimosho tulitua kuwa chadema wamebakiza jimbo lakini hali iliyokuwa kwenye mitaa ilikuwa ni tofauti kama nilivyoeleza kuwauliza baadhi ya washangiliaji walisema kuwa wanafanya hivyo kuishikisha adabu sisiemu eti kwamba waliwahonga mavazi pesa na pombe walipokea lakini kura wakawanyima hivyo walitaka kuwakumbusha kuwa hayo hayakuwa mahitaji yao maana ila walichotaka ni ushindi wa chama na mtu anayeweza kusimamia maslai yao na kuwaletea maendeleo ya kwli sio ahadi , wengine walisema kulikuwa na shinikizo pamoja na mateso unyanyasaji mkubwa wakati wa kampeni uliofanya na sisiemu kwa wanachadema hivyo walilazimika kujivisha mavazi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu hivyo alifanya hivyo kama zihaka .

wanajamii hii imekaaje?
 
yale maTshirt ya ccm ni mavazi tu, hayaleti mantiki yoyote katika Ideology, wanavaa kama nguo zingine zilizoandikwa i love New York wakati yeye mwenyewe ni mkazi wa Naliendele.

ccm wanagawa tu nguo hizo kama Rushwa.
 
Mbona imekaa poa tu, ni fundisho kuwa msaada si maendeleo na kuwadanganya watu kwa nguo si sawa na kuwaona wajinga kupindukia. Bunge jipya litakuwaje sijui!
 
Jamaa wana akili wanaogopa FFU si unajua CCM huwa wanaombwa hawapigwi
 
KWENYEVIDEO CLIP MOJA PALE KAWE BAADA YA MDEE KUTANGAZWA MSHINDI,KUNA MWANA ALIKUWA ANAFUTA GARI LA HALIMA NA NGUO YA CCM,NAZANI NI MAVAZI MAZURI YA KUFANYIA USAFI,KUFUTIA VIOO KUCHAMBIA WALEVI NA KUDEKIA. :smile-big:
 
baada ya matokeo ya kulibakiza jimbo la karatu wafuasi wa chadema walijitokeza kila kona kushangilia ushindi huo lakini cha ajabu walikuwa na bendera na wengine wamevaa mavazi ya ccm zikiwemo kofia tshart kanga na fulana mambo yalikuwa yalikuwa yakushanga kweli kweli baadhi ya wageni na wapita njia walisha kuelewa nani kashinda na kulitokea mkanganyiko wa hali ya juu maana kwahakika kwa tuliokuwa tunafwatilia mwenendo wa matokeo na hata hitimosho tulitua kuwa chadema wamebakiza jimbo lakini hali iliyokuwa kwenye mitaa ilikuwa ni tofauti kama nilivyoeleza kuwauliza baadhi ya washangiliaji walisema kuwa wanafanya hivyo kuishikisha adabu sisiemu eti kwamba waliwahonga mavazi pesa na pombe walipokea lakini kura wakawanyima hivyo walitaka kuwakumbusha kuwa hayo hayakuwa mahitaji yao maana ila walichotaka ni ushindi wa chama na mtu anayeweza kusimamia maslai yao na kuwaletea maendeleo ya kwli sio ahadi , wengine walisema kulikuwa na shinikizo pamoja na mateso unyanyasaji mkubwa wakati wa kampeni uliofanya na sisiemu kwa wanachadema hivyo walilazimika kujivisha mavazi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu hivyo alifanya hivyo kama zihaka .

Wanajamii hii imekaaje?
wamewawahisha sana walitakiwa waendelee kuchukua vitu vyao mpaka 2020 ambapo nahisi ccm watahomga magari ya kijani
 
Back
Top Bottom