Jangakuu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 513
- 221
|
| |
|
|
| |
|
ziwe kanda.santur.cd.dvd.tape bila kumtoa babu pale kwenye ukatibu mkuu chama kitakufa kabla ya 2013
ziwe kanda.santur.cd.dvd.tape bila kumtoa babu pale kwenye ukatibu mkuu chama kitakufa kabla ya 2013
ziwe kanda.santur.cd.dvd.tape bila kumtoa babu pale kwenye ukatibu mkuu chama kitakufa kabla ya 2013
mkuu unafikiri hao chadema wanafahamu wanachokihubiri. nikuvizia upepo tu na kwenda nao huko unakovumia. thats all.Haya majimbo yatakuwa kwa mujibu wa katiba mpya ya CHADEMA au ya Nchi?. katiba ya CHADEMA wala haijayataja achilia mbali kuyatambua.
kwa kuangalia katiba ya sasa inautambua mkoa kwa kuainisha na kusema;
Wakuu wa Mikoa Sheria ya 1984 Na.15 ib.9
61.-(1) Kutakuwa na Mkuu wa Mkoa kwa kila mkoa katika Jamhuri ya Muungano ambaye, bila ya kuathiri ibara ndogo ya (3), atakuwa ni kiongozi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
(2) Wakuu wa Mikoa katika Tanzania Bara watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Waziri Mkuu.
(3) Wakuu wa Mikoa katika Tanzania Zanzibar watateuliwa na Rais wa Zanzibar baada ya kushauriana na Rais.
(4) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (5), kila Mkuu wa Mkoa, atakuwa na wajibu wa kusimamia utekelezaji wa kazi na shughuli zote za Serikali ya Jamhuri ya Muungano katika mkoa aliokabidhiwa; na kwa ajili hiyo, atatekeleza kazi na shughuli zote zilizotajwa na sheria, au kwa mujibu wa sheria kama hizi au shughuli za Mkuu wa Mkoa na atakuwa na madaraka yote yatakayotajwa na sheria yoyote iliyotungwa na Bunge.
Cha kushangaza CHADEMA kwa sasa wanafanya shughuli ambazo haziko katika katiba ya chama na kwa maana hiyo, wanavunja katiba ya chama kwa sababu kifungu ambacho kinatambua majimbo ambayo muundo wake siyo huu wanaoufanya kwa sasa ni ;
7.6 NGAZI ZA JIMBO ZA CHAMA
Patakuwa na Majimbo ya chama kwa taratibu zitakazowekwa na Baraza Kuu kutokana
na mahitaji ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii
7.6.1 Wajumbe wa Baraza la Uongozi la Jimbo
Wajumbe wote wa mabaraza ya uongozi ya mikoa inayounda Jimbo husika.
7.6.2 Kazi za Baraza la Uongozi la Jimbo
(a) Kushauri chama juu ya mambo mbalimbali ya kisera kuhusu Jimbo husika.
(b) Kuchagua mjumbe kuwakilisha jimbo kwenye Baraza Kuu
7.6.3 Vikao vya Baraza la Uongozi la Jimbo vitakutana kila baada ya miaka miwili na nusu.
Mkutano maalum/dharura yawez.a kuitishwa
Haya majimbo yatakuwa kwa mujibu wa katiba mpya ya CHADEMA au ya Nchi?. katiba ya CHADEMA wala haijayataja achilia mbali kuyatambua.
kwa kuangalia katiba ya sasa inautambua mkoa kwa kuainisha na kusema;
Wakuu wa Mikoa Sheria ya 1984 Na.15 ib.9
61.-(1) Kutakuwa na Mkuu wa Mkoa kwa kila mkoa katika Jamhuri ya Muungano ambaye, bila ya kuathiri ibara ndogo ya (3), atakuwa ni kiongozi katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano.
(2) Wakuu wa Mikoa katika Tanzania Bara watateuliwa na Rais baada ya kushauriana na Waziri Mkuu.
(3) Wakuu wa Mikoa katika Tanzania Zanzibar watateuliwa na Rais wa Zanzibar baada ya kushauriana na Rais.
(4) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ndogo ya (5), kila Mkuu wa Mkoa, atakuwa na wajibu wa kusimamia utekelezaji wa kazi na shughuli zote za Serikali ya Jamhuri ya Muungano katika mkoa aliokabidhiwa; na kwa ajili hiyo, atatekeleza kazi na shughuli zote zilizotajwa na sheria, au kwa mujibu wa sheria kama hizi au shughuli za Mkuu wa Mkoa na atakuwa na madaraka yote yatakayotajwa na sheria yoyote iliyotungwa na Bunge.
Cha kushangaza CHADEMA kwa sasa wanafanya shughuli ambazo haziko katika katiba ya chama na kwa maana hiyo, wanavunja katiba ya chama kwa sababu kifungu ambacho kinatambua majimbo ambayo muundo wake siyo huu wanaoufanya kwa sasa ni ;
7.6 NGAZI ZA JIMBO ZA CHAMA
Patakuwa na Majimbo ya chama kwa taratibu zitakazowekwa na Baraza Kuu kutokana
na mahitaji ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii
7.6.1 Wajumbe wa Baraza la Uongozi la Jimbo
Wajumbe wote wa mabaraza ya uongozi ya mikoa inayounda Jimbo husika.
7.6.2 Kazi za Baraza la Uongozi la Jimbo
(a) Kushauri chama juu ya mambo mbalimbali ya kisera kuhusu Jimbo husika.
(b) Kuchagua mjumbe kuwakilisha jimbo kwenye Baraza Kuu
7.6.3 Vikao vya Baraza la Uongozi la Jimbo vitakutana kila baada ya miaka miwili na nusu.
Mkutano maalum/dharura yaweza kuitishwa
Mkuu ninaomba uniweke sawa, katiba ipi ambayo unadai itabadilishwa baada ya uchaguzi. Katiba ya CHADEMA au katiba ya nchi?.,Chadema ikishinda uchaguzi 2015. itakuwa tayari kubadilisha katiba na utaratibu wa majimbo ukaanza kutumika kikatiba. Umeelewa SOMO Mkuu?
Kanda zinaongozwa kwa utaratibu gani wa Katiba ya CHADEMA?
ziwe kanda.santur.cd.dvd.tape bila kumtoa babu pale kwenye ukatibu mkuu chama kitakufa kabla ya 2013
ziwe kanda.santur.cd.dvd.tape bila kumtoa babu pale kwenye ukatibu mkuu chama kitakufa kabla ya 2013