Kasimba G
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,428
- 2,609
Dr. W.p. Slaa ana mvuto wa kipekee, ninaomba CHADEMA tumpangie mikutano sehemu zote ambazo tumesimamisha wagombea, mwaka wa uchaguzi nakumbuka nilikuwa Tukuyu, Mbeya watu walikuwa wanamsubiri Slaa lakini bahati mbaya kutokana na mizengwe hakufuka, yaani Wananchi walitaka wamuone tuu harafu apate kura zoote.
CHADEMA mna mtaji sijui kama mnalifahamu hilo viongozi wetu, nawaomba katika kata ya kiwira, Tukuyu hebu tumieni huo mtaji, akitua pale tuu mnayo hiyo kata, nawahakikishieni kwa asilimia zoote mtachukua hiyo kata.
Siyo kuwa sithamini mchango wa viongozi wengine, ila kila mtu ana mvuto wa tofauti.
Nawasilisha
CHADEMA mna mtaji sijui kama mnalifahamu hilo viongozi wetu, nawaomba katika kata ya kiwira, Tukuyu hebu tumieni huo mtaji, akitua pale tuu mnayo hiyo kata, nawahakikishieni kwa asilimia zoote mtachukua hiyo kata.
Siyo kuwa sithamini mchango wa viongozi wengine, ila kila mtu ana mvuto wa tofauti.
Nawasilisha