Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,361
- 8,789
Miaka michache iliyopita Kampuni kubwa ya kutengeneza Magari Duniani Toyota ilipata matatizo kwa kutengeneza Magari ambayo yalikuwa na matatizo ya clutch na kusababisha wateja wao kupata ajali na wengine kupoteza maisha katika kujitetea Raisi wa Kampuni hiyo kubwa na maarufu Duniani Bw. Aichio Toyoda alisema nafikiri ilikuwa mbele ya Senate ya Marekani yafuatayo:
"Toyota Grew too quickly"
"Quite frankly, I fear the pace at which we have grown may have been too quick" na akaendelea zaidi kwa kusema "Toyota's priority has traditionally been the following: First; Safety, Second; Quality, and Third; Volume. These priorities became confused"
Je kuna mahusiano yoyote au fundisho lolote lile CHADEMA inaweza kuona hapo kati yao na Toyota?
Ninanchomaanisha ni kwamba Je, CHADEMA wanakwenda kasi sana ambapo kasi yao kama vile Kampuni ya Toyota inaweza kuwafanya wachanganye mambo hasa kwenye mpangilio wa priorities ambapo Toyota walizichanganya na wakati mwingine badala ya kuanza na Safety wao wakaanza na Volume au badala ya Quality wao wakaenda na Volume na matokeo yake hayakuwa mazuri kwa Toyota pamoja na kuwa kwamba mwanzoni walifanikiwa sana!
"Toyota Grew too quickly"
"Quite frankly, I fear the pace at which we have grown may have been too quick" na akaendelea zaidi kwa kusema "Toyota's priority has traditionally been the following: First; Safety, Second; Quality, and Third; Volume. These priorities became confused"
Je kuna mahusiano yoyote au fundisho lolote lile CHADEMA inaweza kuona hapo kati yao na Toyota?
Ninanchomaanisha ni kwamba Je, CHADEMA wanakwenda kasi sana ambapo kasi yao kama vile Kampuni ya Toyota inaweza kuwafanya wachanganye mambo hasa kwenye mpangilio wa priorities ambapo Toyota walizichanganya na wakati mwingine badala ya kuanza na Safety wao wakaanza na Volume au badala ya Quality wao wakaenda na Volume na matokeo yake hayakuwa mazuri kwa Toyota pamoja na kuwa kwamba mwanzoni walifanikiwa sana!