Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,889
- 32,289
Chadema kama kweli mna uchungu na Taifa letu pelekeni hoja binafsi bungeni kupinga viinua mgongo, achaneni na habari ya shangingi moja la Mkuu wa kambi ya Upinzani Mbowe,
Kila mbunge ataondoka na zaidi ya Sh46 milioni kama kiinua mgongo baada ya Rais Jakaya Kikwete kulivunja bunge. Jumla ya wabunge wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni 350, na kila Mbunge anapata jumla Sh1.921,000 kwa mwezi ni kipato kikubwa sana. Kwenye pesa za kiinua mgongo taifa linapoteza zaidi Bilioni 12 zitalipwa kwa wabunge wote pamoja na wa Chadema, cha kushangaza kwenye ili mbowe na wenzake wamekaa kimya wanaleta usanii kwenye Shangingi moja tu na posho za 60,000,
Kila mbunge ataondoka na zaidi ya Sh46 milioni kama kiinua mgongo baada ya Rais Jakaya Kikwete kulivunja bunge. Jumla ya wabunge wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ni 350, na kila Mbunge anapata jumla Sh1.921,000 kwa mwezi ni kipato kikubwa sana. Kwenye pesa za kiinua mgongo taifa linapoteza zaidi Bilioni 12 zitalipwa kwa wabunge wote pamoja na wa Chadema, cha kushangaza kwenye ili mbowe na wenzake wamekaa kimya wanaleta usanii kwenye Shangingi moja tu na posho za 60,000,