The badger cant die that easily.Tayari CDM wamesha save hiyo plot,sasa kazi ni kwa CCM.Mbaya coincidence ni ushindi wa Lema uatakaofunika mengi, utakaorudisha imani ya wana arush ahata wale waliokuwa hawapendi tena siasa.
Sasa ni mwisho wa mamluki wa hii nchi, sasa mamluki wengine watalipa fortune ya maisha yao ktk kesi.Wengine watapata kipindi kigumu kujiweka sawa baad ay amaisha yao kisiasa kuisha vibaya.Hii inaonyesh jinsi gani badger hana mercey wala fear.
CCM hawajaweza fukuza mafisadi sasa watashuhudia Zitto akiondoshwa rasmi ktk CDM, ajiandae kwenda NCCR mageuzi au hata CCM.Political chase aliyokuw akiataka cheza imeishia kuwa mazingaombwe.madiwaniw a CDM sasa wanalia watalipa vipi fidia za mahakama wakati tayari kesi zilishwamalisha?
Wanaofuatia kesi ya Lema wanaojiita wapiga kura nao watalipa vipi hizo hela?Move za CCM zimethibitisha kuw ani test tuu kwa CDm ili wananchi wakikubali kuwa ni chama makini.Ni truly Tenacious miniature creature that will never be threatened.
Soon kinachofuatia ni downfall ya CCM.Chadema watasimamaia majukwaani plot zote za CCM halafu watawauliza wananchi nini tena kimebaki CCM cha kuaminika?
Ndugu Nicholas. Huku nikigonga safari ya sita kusheherekea mbunge wangu kurudishwa kundini umeniacha hoi sana kwa comments zako. Well analysed and concrete samples.
Safi sana na nitaendelea kuifuatilia.