jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
..Kaka yangu ni diwani wa CCM huko Morogoro amenipa habari kuwa Chadema wametetea kiti cha udiwani kata ya Mtibwa..,pamoja na hila na uwepo wa Viongozi wote wakuu wa CCM wa Mkoa lakini nguvu ya UMMA imeshinda..,ila amefurahi pia na amesema CCM inakufa...!