Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Kaweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee je mbona kimya
Kawe shughuli zinaendelea kama kawaida, hata jumamosi kulikuwa na mkutano wa hadhara kawe ukwamani.
Kama unakaa maeneo ya kawe jitahidi weekend kufika ofisini utapata ratiba zao.