Jimbo la Nzega litakombolewa rasmi 2015, kamanda mpiganaji, experienced proffesianal engineer ( jina namhifandhi kwa sasa) tayari ameshaanza kazi nzega akishirikiana kwa karibu na viongozi wake wa jimbo la nzega kupitia CHADEMA, mpaka ifikapo 2015 magamba watakuwa wameshasahaulika nzega, Operesheni sangara ilikuwa iwe imeshaanza ngazi ya jimbo, mkutano wa uzinduzi ulikuwa ufanyike tar 4 mwezi huu nzega mjini, then opresheni ingeendelea kwenye vijiji na kata zote, Polisi wakazuia kutoa vibali bila sababu za msingi. as we stand, tayari viongozi wa CHADEMA nzega wameshakubaliwa kuanza mikutano yao anytime they want, OCD amesurrender na ameomba msamaha kwa yaliyotokea baada ya kuonyeshwa kimakosa press conference waliyofanya viongozi hao wa jimbo pamoja na kijana huyo mpiganaji kabla haijafikishwa kwenye media( Channel ten).
lets wait for the good news to come from nzega the soonest possible.
nitaendelea kuwataarifu kinachoendelea huko
lets wait for the good news to come from nzega the soonest possible.
nitaendelea kuwataarifu kinachoendelea huko