Chadema jengeni utamaduni wa kuheshimu sheria msipende kuamua hukumu kabla ya kesi

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Feb 27, 2011
6,766
894
Wana JF,
Ni jambo la kushangaza kwa huu utamaduni mpya wa wafuasi wa CDM wa kutoa hukumu za kesi za uchaguzi ziwe vipi hata kabla ya kesi kutajwa.
Tumeona kwenye kesi ya Lema kule Arusha CDM walitoa hukumu mapema kabla kabla ya kesi Lema alivyoshindwa kesi wakaanza kulalamika kuwa Jaji katumwa na Ikulu.

Kule Sumbawanga CCM walivyoshindwa CDM hawa hawa wakamsifia Jaji kuwa katenda haki.

Kule Singinda Mashariki Tundu Lissu aliyotangazwa na Jaji kuwa alishinda kihalali hawa hawa CDM wakamsifia Jaji kuwa katenda haki.

Jimbo la Segerea Jaji aliyomtangaza Makongoro kuwa alishinda kihalali hawa hawa CDM wanasema Jaji katumwa na Ikulu.

Wana CDM kukubali kushindwa ni kujenga utamaduni wa kuheshimu sheria za nchi.
 
Hivi CCM na serikali yake hufuata utawala wa sheria? Huwa inakubali mara moja amri za mahakama? Kabla sijaendelea hebyu nijibiwe hayo fasta... kabla sijaanza kugandamiza hoja za ukweli.
 
Kama mnashindwa kuheshimu sheria na uhuru wa mahakama siku mkichukuwa nchi sijui itakuwaje, haiwezani kila mkishindwa kwenye kesi za uchaguzi mnasema ni maagizo ya Ikulu mkishinda kesi mnabadilisha maneno (wao wana pesi sisi tuna Mungu)
 
Hivi CCM na serikali yake hufuata utawala wa sheria? Huwa inakubali mara moja amri za mahakama? Kabla sijaendelea hebyu nijibiwe hayo fasta... kabla sijaanza kugandamiza hoja za ukweli.

Nami natayarisha zana kuja kukusaidia Mkuu. Halafu nimeipenda sana signature yako!
 
Kama mnashindwa kuheshimu sheria na uhuru wa mahakama siku mkichukuwa nchi sijui itakuwaje, haiwezani kila mkishindwa kwenye kesi za uchaguzi mnasema ni maagizo ya Ikulu mkishinda kesi mnabadilisha maneno (wao wana pesi sisi tuna Mungu)

Wewe acha kubwabwaja. Bado hujajibu swali la Kafiribangi. swema NDIYO -- CCM na serikali yake hufuata sheria za nchi/amri za mahakama, au SIYO, CCM na serikali yake nayo haifuati sheria za nchi/amri za mahakama.
 
Wewe acha kubwabwaja. Bado hujajibu swali la Kafiribangi. swema NDIYO -- CCM na serikali yake hufuata sheria za nchi/amri za mahakama, au SIYO, CCM na serikali yake nayo haifuati sheria za nchi/amri za mahakama.

Ndiyo imekuwa kawaida ya magamba. wakizidiwa hoja hukwepa suala la msingi au kusepa.
 
Mpendazoe ushahidi wa kusikia, vielelezo hakuwanavyo HAPO CDM mlitegemea mshinde???
 
Mwanachama wa CHADEMA kama raia ye yote ana haki ya kutoa maoni yake lakini maoni yake hayamaanshi kuwa huo ndiyo msimamo wa chama.

CHADEMA kama chama kina wasemaji wake rasmi, Hivyo koma kabisa kukipaka chama matope!
 
Mwanachama wa CHADEMA kama raia ye yote ana haki ya kutoa maoni yake lakini maoni yake hayamaanshi kuwa huo ndiyo msimamo wa chama.

CHADEMA kama chama kina wasemaji wake rasmi, Hivyo koma kabisa kukipaka chama matope!

mwambie huyo zumbukuku nadhani wkt anaandika alikuwa na njaa.
 
Hivi CCM na serikali yake hufuata utawala wa sheria? Huwa inakubali mara moja amri za mahakama? Kabla sijaendelea hebyu nijibiwe hayo fasta... kabla sijaanza kugandamiza hoja za ukweli.

Mimi ndiyo maana nasisitiza kuwa CCM na CHADEMA ni watoto mapacha. Kwa hiyo CDMA wanafuata mkumbo wa CCM? teh teh teh. Hakika Tanzania hatuna Vyama vya siasa, bali tuna wanasiasa. Nchi inaweza kuwa na wanasiasa na isiwe na vyama vya siasa kwa sababu wanasiasa siku zote matendo yao yanafanana, ila vyama vya siasa kila kimoja na idikadi zake. Sasa kama CCM wakiiba, wakitukana , Wakifadhiliwa na Wafanyabiashara, basi na CHADEMA wafanye hivyo? Tujihadhadari watanzania, hii habari ya watu kujitengenezea njia za kushibisha matumbo yao kwa kisingizio cha siasa hatutafika.
 
Wana JF,
Ni jambo la kushangaza kwa huu utamaduni mpya wa wafuasi wa CDM wa kutoa hukumu za kesi za uchaguzi ziwe vipi hata kabla ya kesi kutajwa.
Tumeona kwenye kesi ya Lema kule Arusha CDM walitoa hukumu mapema kabla kabla ya kesi Lema alivyoshindwa kesi wakaanza kulalamika kuwa Jaji katumwa na Ikulu.

Kule Sumbawanga CCM walivyoshindwa CDM hawa hawa wakamsifia Jaji kuwa katenda haki.

Kule Singinda Mashariki Tundu Lissu aliyotangazwa na Jaji kuwa alishinda kihalali hawa hawa CDM wakamsifia Jaji kuwa katenda haki.

Jimbo la Segerea Jaji aliyomtangaza Makongoro kuwa alishinda kihalali hawa hawa CDM wanasema Jaji katumwa na Ikulu.

Wana CDM kukubali kushindwa ni kujenga utamaduni wa kuheshimu sheria za nchi.
Unajua siku zote Mwanasiasa kabla hajawasilisha mawazo ya wananchi, ni lazima awaandae wananchi hao kukubali kuwa anachokisem ndicho kiko sahihi. Na hili ni bomu lingine ambalo Watanzania tunatakiwa tuwe nalo makini kwa sababu kama tutaandaliwa kukubali kila jambo, maanake tunaandaliwa kutawaliwa kifikra. Mimi nadhani hata hili nalo linahitaji kutolewa maoni katika Katiba mpya. Sidhani kama vyombo vyetu vya maamuzi vinatendewa haki. Utakuta kesi inaendelea na pengine hata bado uchunguzi haujakamilika si zile za siasa pekee bali hata nyinginezo, wananchi/wanasiasa wanatoa hukumu zao. Katiba mpya iseme wazi kuwa hilo ni kosa la jinai kwa sababu kwanza ni uongo, pili unafedhesha yule ambaye amewekwa kutoa maamuzi hayo.
 
Hivi CCM na serikali yake hufuata utawala wa sheria? Huwa inakubali mara moja amri za mahakama? Kabla sijaendelea hebyu nijibiwe hayo fasta... kabla sijaanza kugandamiza hoja za ukweli.
CCM na CDM mpigane vikumbo , lakini ukweli ubaki pale pale Kuwanza kubwabwaja mitaani kuhusu jambo ambalo liko mikononi mwa vyombo vya maamuzi ni kutovitendea haki vyombo hivyo.
 
Hii mbona mtoto wa Malecela ameshaanzisha? CCM wezi tu ikiwezekana watauwa watu ili walinde maslahi yao. Kuishabikia ccm inabidi uwe na akili ya maiti - Daudi Mchambuzi.
 
Umesema kweli kama wataendelea hivi muda si mrefu tutapoteza imani yetu kwao kwamba si watu makini.......wababaishaji......tunaomba tusifike huko
 
CHADEMA ni chama kinachopewa support kubwa na marginalised citizens...wahanga wa mfumo na utawala mbovu wa CCM..wapo ambao ndugu zao wamefungwa au kutiwa hatiani na viongozi wa CCM kwa kutumia madaraka yao,kupindisha sheria n.k.......
Kamwe wananchi hawa hata siku moja hawawezi kuamini utawala kuwatendea haki kwa sababu wana-experience ya uozo huo that's why wafuasi wa CHADEMA wengi huwa hawaridhishwi na maamuzi ya mahakama zinazotokana na mkono wa RAIS ambae kufanya decision mpaka wame-influence!
 
Wana JF,
Ni jambo la kushangaza kwa huu utamaduni mpya wa wafuasi wa CDM wa kutoa hukumu za kesi za uchaguzi ziwe vipi hata kabla ya kesi kutajwa.
Tumeona kwenye kesi ya Lema kule Arusha CDM walitoa hukumu mapema kabla kabla ya kesi Lema alivyoshindwa kesi wakaanza kulalamika kuwa Jaji katumwa na Ikulu.



Kule Sumbawanga CCM walivyoshindwa CDM hawa hawa wakamsifia Jaji kuwa katenda haki.

Kule Singinda Mashariki Tundu Lissu aliyotangazwa na Jaji kuwa alishinda kihalali hawa hawa CDM wakamsifia Jaji kuwa katenda haki.

Jimbo la Segerea Jaji aliyomtangaza Makongoro kuwa alishinda kihalali hawa hawa CDM wanasema Jaji katumwa na Ikulu.

Wana CDM kukubali kushindwa ni kujenga utamaduni wa kuheshimu sheria za nchi.



.....Hii nimeipenda sana mkuu hakika hawa chadema ni watu wa kushangaza hata mtoto wa chekechea akisoma hapa ataelewa kuwa hawana akili,iweje kesi wanazoshinda ndo jaji kafanya vizuri,wakiingia ikulu watatuponyesha hawa
 
Back
Top Bottom