CHADEMA ni chama kinachoaminika sana na jamii na kinatarajiwa kuchukua madaraka pindi hawa magamba wakipigwa chini.
Lakini kusema kweli kale kanyumba mnakotumia kama makao makuu pale kinondoni kanatutia wasiwasi. Ni nini kinachowafanya msijenge?!! Ni ukata? mbona wabunge mnao wa kutosha na ruzuku ni nyingi. Kama vipi mwaweza hata kuchangishana mkawa na mjengo wa maana ili muwe na sura ya kuongoza nchi!!
Lakini kusema kweli kale kanyumba mnakotumia kama makao makuu pale kinondoni kanatutia wasiwasi. Ni nini kinachowafanya msijenge?!! Ni ukata? mbona wabunge mnao wa kutosha na ruzuku ni nyingi. Kama vipi mwaweza hata kuchangishana mkawa na mjengo wa maana ili muwe na sura ya kuongoza nchi!!