zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
sikio la kufa siku zote halisikii dawa,tunacho subiri ni maziko ya CCM
Ndio mnavyojidanganya? CCM itakufa kama vilivyokufa vyama vingine duniani, kafa 'mungu" itakuwa CCM? lakini chadema hakitotawala Tanzania, kwa kura zipi? Hilo kumbuka.