JOB SEEKER
Senior Member
- Aug 1, 2011
- 145
- 33
Kwa hali inavyoenda chadema itashinda uchaguzi zanzibar
kazi inaendelea ya uhamasishaji ni nzuri sana,watu wa uzini
wamehamasika sana !! watu wa uzini wanasubiri siku ya kura
kufanya mabadiliko positive uzini !! hakuna ccm wala Cuf ni
CHADEMA tuuuuuu
Natangaza kwa wale waliosema hapa Jf kuwa watajinyonga,watatembea
uchi jamani waanze sasa hivi ?????????? chadema tutaiongeza uzini kwa
maanufa yao wenyewe !!!!!!!!!!
kazi inaendelea ya uhamasishaji ni nzuri sana,watu wa uzini
wamehamasika sana !! watu wa uzini wanasubiri siku ya kura
kufanya mabadiliko positive uzini !! hakuna ccm wala Cuf ni
CHADEMA tuuuuuu
Natangaza kwa wale waliosema hapa Jf kuwa watajinyonga,watatembea
uchi jamani waanze sasa hivi ?????????? chadema tutaiongeza uzini kwa
maanufa yao wenyewe !!!!!!!!!!