Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Katika harakati za kulikomboa taifa letu CDM ndo mkombozi pekee aliye bakia!
Nina wasi wasi iwapo CDM wamegundua kuwa CCM ni adui wa UKOMBOZI wa taifa letu!
Nahisi hali ya kulemba, naona CCM inawalisha PIPI za kulevya na kupumbaza viongozi wetu wa CDM.
Mfano mzuri ni jinsi CCM inavyofungua kesi na kufanya unyanyasaji dhidi ya viongozi wa CDM.
Baada ya M4C chadema itangaze rasmi mchakato mpya wa kuiona CCM kama ukoma na kutoiamini
kwa chochote inachofanya kwa sasa ikiwemo mchakato wa katiba mpya na tume ya JK.
CCM haina nia ya KUACHA UFISADI NA MAFISADI WAKE WAFUNGWE kwa kuiachia nchi iwe huru.
Nina wasi wasi iwapo CDM wamegundua kuwa CCM ni adui wa UKOMBOZI wa taifa letu!
Nahisi hali ya kulemba, naona CCM inawalisha PIPI za kulevya na kupumbaza viongozi wetu wa CDM.
Mfano mzuri ni jinsi CCM inavyofungua kesi na kufanya unyanyasaji dhidi ya viongozi wa CDM.
Baada ya M4C chadema itangaze rasmi mchakato mpya wa kuiona CCM kama ukoma na kutoiamini
kwa chochote inachofanya kwa sasa ikiwemo mchakato wa katiba mpya na tume ya JK.
CCM haina nia ya KUACHA UFISADI NA MAFISADI WAKE WAFUNGWE kwa kuiachia nchi iwe huru.