The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Binafsi namuonea imani - kujivunia nafasi ya kazi kwa kupewa cheo katika idara ya "PROPAGANDA" ni afadhali nilale njaa....maana moja kwa moja hata hao waliokupa hiyo nafasi wanatambua namna gani HAMNAZO. On a serious note, ukimsikiliza TAMBWE HIZA akiwa katika majadiliano unapata hasira sana maana HANA HATA punje ya points zenye maana....:disapointed:
Hili nalo neno