ni kweli atatoka kaskazini kwa mujibu wa orodha iliyoko tume.sasa cha ajabu nini? au ndo yale maneno yenu? ukiwa na nia mbaya daima utakuwa busaraless.mteule atakayechukua nafasi ya rejia atatoka kaskazini.
Kama CHADEMA kuna upendeleo bila vigezo kuzingatiwa huyo mtoto wa mkulima Regia alipataje nafasi? au nae ni mtoto, mke au kimada wa kigogo. Kama Regia ni mtoto wa mkulima na alipata nafasi basi ujue chadema hamna tatizo. Vigezo vilivyotumika last time naviunga mkono na ndio vimeleta wabunge wenye uhai ukilinganisha na wabunge wa viti maalum ccm. Ktk bunge la sasa huwezi kupeleka wabunge wa darasa la saba maana hawawezi kwenda na kasi ya chadema.Wengi bado tuna kumbukumbu nzuri ya kilichotokea katika mchakato wa kuwapata wawakilishi wa viti maalum vya kina mama na vijana ndani ya CHADEMA wakati wa uchaguzi mkuu uliopita, ilikua aibu tupu.Waumini wa demokrasia tusingependa kuona chadema inatia tena aibu kwenye mchakato wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na mpiganaji Regia Mtema.
Tunajua yapo majina tayari ya wanaopaswa kuchukua nafasi hiyo kule tume ya uchaguzi kwa mujibu wa taratibu,hivyo basi tunaomba haki itendeke ndani ya chama hasa tukijiamisha ya kwamba chadema kama jina lake lilivyo ni chama cha kidemokrasia zaidi kuliko kisultani.
Nafasi hii itapendeza ikienda kwa mtoto wa mkulima kama alivyokuwa marehemu,sio lazima iende tena kwa watoto ama "wake" wa vigogo ndani ya chadema.Tunasema hivi kwa kuwa kuna dalili za kamchezo hako kuweko sana chadema na tumeshasikia tetesi kuna wake wa wakubwa huko wanaotajwa tajwa kumrithi marehemu na pia upo ushahidi uliozaa manung'uniko ya kuwepo kwa upendeleo wa ndugu na watoto wa vizito "kupewa" nafasi,mfano wapo watu sio wengi wanaolalamika na kudai watoto ama ndugu wa vigogo mfano ndesamburo,zitto n.k.
Walipendelewa kupata nafasi hizo kutokana na majina ya wakubwa hao..hili lisirudiwe kumrithi Regia.
Wengi bado tuna kumbukumbu nzuri ya kilichotokea katika mchakato wa kuwapata wawakilishi wa viti maalum vya kina mama na vijana ndani ya CHADEMA wakati wa uchaguzi mkuu uliopita, ilikua aibu tupu.Waumini wa demokrasia tusingependa kuona chadema inatia tena aibu kwenye mchakato wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na mpiganaji Regia Mtema.Tunajua yapo majina tayari ya wanaopaswa kuchukua nafasi hiyo kule tume ya uchaguzi kwa mujibu wa taratibu,hivyo basi tunaomba haki itendeke ndani ya chama hasa tukijiamisha ya kwamba chadema kama jina lake lilivyo ni chama cha kidemokrasia zaidi kuliko kisultani.
Nafasi hii itapendeza ikienda kwa mtoto wa mkulima kama alivyokuwa marehemu,sio lazima iende tena kwa watoto ama "wake" wa vigogo ndani ya chadema.Tunasema hivi kwa kuwa kuna dalili za kamchezo hako kuweko sana chadema na tumeshasikia tetesi kuna wake wa wakubwa huko wanaotajwa tajwa kumrithi marehemu na pia upo ushahidi uliozaa manung'uniko ya kuwepo kwa upendeleo wa ndugu na watoto wa vizito "kupewa" nafasi,mfano wapo watu sio wengi wanaolalamika na kudai watoto ama ndugu wa vigogo mfano ndesamburo,zitto n.k.
Walipendelewa kupata nafasi hizo kutokana na majina ya wakubwa hao..hili lisirudiwe kumrithi Regia.
Ni Cecilia Masore au Subira Waziri, Sabrina na Rebecca Mngodo tayari ni Wabungekama ni majina ya NEC list ya zamani hii hapaRachel Mashishanga (24), Sabrina Sungura (25), Rebecca Mngodo (26), Cecilia Pareso (27), Subira Waziri (28), Leticia Musore (29), Helen Kayanza (30).rachel mashishanga ni mbunge.
nanii? acha kuficha mtaje tumchane hatutaki uccm ndani ya cdmSidhani kama hoja hii ina mashiko. Mrithi wake anajulikana.
wewe ni kimeo wa kufikiri
Kumbukumbu ipi hv we unajua mizengwe ambayo hutumika na CCM kupata hawa wabunge wa viti maalumu? Chadma ni chama ambacho kwa hilo walijitahidi sema watu tumejaa hila kwani kama mtu ni ndugu na viongozi wa chadema hawaruhusiwi kuwa wabunge? mbona hauhoji mtu kama zainabu Kawawa ambaye najua yeye alifight hakubebwa, haya kina Ana Abdalah na wengine wengi tu. Chadema walitumia mtaalamu mshauri bwana Kitila Mkumbo na waliweka vigezo baadhi ya akina mama walidhani ukiwa kiongozi wa juumuiya basi inakuwa first priority ndo maana mkti wa wanawake chadema alihama kwa kuwa alikosa sifa hizo na akatoka na shutuma nzito.
CHADEMA walichofanya cha kwanza ni kuwa akina mama wote waliogombea ndo walipewa first priority kwa kwanza kuthubutu kuingia kwenye mapambano jukwaa na ndo kilichompatia pia na Marehemu Regia Ubunge. ni ile nguvu na uthubutu wake wa kujitokeza kugombea ndo maana wanawake nadhani wote waliogombea ubunge kwa chadema walipokosa wamepewa viti maalumu. Hata Mdee angekosa angepewa maana walishaonyesha ile sense ya leadership kumbuka Rose Kamili ambaye alihama CCM akiwa diwani na akagombea matokeo yalikuwa na utata nadhani Mh Nagu alitangazwa na tume. Hivyo tuache upashkuna na tena wewe thread nyingi ni za kimalaria sugu nashangaa unapojifanya unawahurumia chadema. Mimi si cdm lkn ni mfuatiliaji
Bado tuko kwenye majonzi nadhani kwasasa hili halituhusu!
Ndiyo tatizo la kushiriksha masaburi katika kutoa hoja. Bosi wako washamlambisha sumu huko Mwanza, sijui nani atakuwa anawapa posho za kuleta upupu hapa jamvini.
Tukumbushane tu Mhe Mbatia alipofariki na Mch Dr Lwakatare kuchukua nafasi yake, ilikuwaje? sioni kama kuna haja ya kupoteza kuchangie thread hii.
naamini CHADEMA ni chama makini hivyo katika swala hilo hawatawaangusha waTZ!.
Mkuu unafikiri jamaa hajui huu utaratibu? Kama angekuwa anajua baada ya kusoma post yako angeacha kuendeleza speclulations za Kipumbavu hapa! Huyu jamaa analipwa na hii ni kazi ya ziada ila inamsaidia kuongeza kipato maana mishahara ya wakata Majani si unaijua Mkuu. Kwa Uzi huu Msela mkono unaenda Kinywani
watanzania wanaanza kuwawaamini kama tunaitaka tanzania tusiangaliane usoni tufuate taratibu kupata viongozi wetu kujuana ukigogo ufisadi ndio vitu vilivyotuondoa ccm mkivikaribisha cdm tutawamwaga nyinyi si mama zetu