Elections 2010 Chadema isisahau uchaguzi katika majimbo haya:

Chapakazi

JF-Expert Member
Apr 19, 2009
2,874
310
Baada ya NEC kuhairisha uchaguzi wa wabunge katika majimbo ya Nkenge, Mpanda Mjini na Mpanda Vijijini, ningependa kujua kwanza kama Chadema ina wagombea huko? Pili, kama inayo...ingefaa sana ipeleke timu timamu katika kuhakikisha inachukua haya majimbo!
 
Mpanda Mjini wagombea ni:
SEBASTIAN KAPUFI - CCM
SAID ARFI -CHADEMA
EZEKIA NDEMMANYA - CUF

Mpanda Vijijini:
MOSHI KIKOSO - CCM
MUSSA MASANJA - CHADEMA
CHARLES MAKOFIRA - NCCR

Bado sijapata jimbo la Nkenge. Ni mkoa gani huu?
 
Jamaa we Nkenge naona bado yupo:

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom