Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Baada ya NEC kuhairisha uchaguzi wa wabunge katika majimbo ya Nkenge, Mpanda Mjini na Mpanda Vijijini, ningependa kujua kwanza kama Chadema ina wagombea huko? Pili, kama inayo...ingefaa sana ipeleke timu timamu katika kuhakikisha inachukua haya majimbo!