chadema ishukuru kupata wabunge 23!

Hivi Chadema ni viti 23 tu!, duhh wanakelele hao, mie nilifikiri wana japo robo ya viti vya Ubunge!

Halafu wenyewe wanaamini kabisa kuwa Silaa kashinda uchaguzi! wanashangaza kweli, bado mnakazi kubwa sana ya kufanya mpaka wananchi wawakubali.
Hata mimi nashangaa viti 23 wamewafunika wenye viti 200 jiulize wana kasoro gani hao 200 mbona hawasikiki.
 
UMEONA EEEH? KURA ZENYEWE WALIPATA ZA HURUMA TUU HIVI WANAHISI WATU WAKICHAGUA CHADEMA AU WALICHAGUA MTU? KWAMFANO WALE WATU WALIOSHINDA KUPITIA CHADEMA WANGEWEZA KUSHINDA KUPITIA CHAMA CHOCHOTE KILE mfano,MTU KAMA ZITO,HALIMA,NDESAPESA,SUGU,ARFI, etc hawa wanaeza gombea chama chochote wakashinda
That is true hata mimi mwaka jana sikutegemea kama wangepata zaidi ya viti vitano.
 
kinachositikisha ni baadhi ya wajinga wachache sana wanaosema kwamba slaa alishinda huku wengi wao wakitambua fika kuwa babu na kelele zake zote aliambulia viti 23 tu kati ya 239 na usheee
 
UMEONA EEEH? KURA ZENYEWE WALIPATA ZA HURUMA TUU HIVI WANAHISI WATU WAKICHAGUA CHADEMA AU WALICHAGUA MTU? KWAMFANO WALE WATU WALIOSHINDA KUPITIA CHADEMA WANGEWEZA KUSHINDA KUPITIA CHAMA CHOCHOTE KILE mfano,MTU KAMA ZITO,HALIMA,NDESAPESA,SUGU,ARFI, etc hawa wanaeza gombea chama chochote wakashinda
KASHOGA BWANA kweli wewe ni ki shoga!
 
kinachositikisha ni baadhi ya wajinga wachache sana wanaosema kwamba slaa alishinda huku wengi wao wakitambua fika kuwa babu na kelele zake zote aliambulia viti 23 tu kati ya 239 na usheee
Hivi Lowassa, Komba, Sophia na Rostam yumo kati ya wabunge 239 wa CCM nauliza tu ukinijibu nitakupa hesabu yake.
 
kinachositikisha ni baadhi ya wajinga wachache sana wanaosema kwamba slaa alishinda huku wengi wao wakitambua fika kuwa babu na kelele zake zote aliambulia viti 23 tu kati ya 239 na usheee
mkuu wewe unaona nivichache!?? hebu sema ongezeko la viti in % kwa chadema toka viti vingapi mpaka hivyo 23. your finished!!!
 
Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini inachuja, sasa wameibuka na uhaini.by dawa ya marelia (qnn)
 
Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini inachuja, sasa wameibuka na uhaini.by dawa ya marelia (qnn)
Noted mkuu hata jana Mh. Mnyika kaitumia signature yangu kwenye press conference yake tunasonga mbele kuelimisha jamii inshallah lengo litatimia.
 
Hivi ccm from grassroot mpaka kwa Jk hakuna mtu mwenye uelewa. Mbona kuna watu wa ajabu hivi, sasa kama huyu anasema nini sijaona point hapa na mi najua Kilimanjaro watu wamesoma wanauwezo wa kuchambua, labada ujumbe kama huu ungetolewa Lindi kungekuwa na effect. Jamani ccm wanayo kazi, yaani akili zao ni moja sijaona atakaye okoa jahazi.
 
Hiyo habari unataka tuchangie nini? Mbona umma ndio wenye kauli? Kumbuka uchaguzi ulikuwa wa NEC siyo wa wananchi. Na kama chanzo ndiyo hilo gazeti halifai hata kuchambia. Yaani toilet paper ni bora kuliko hilo gazeti usipoteza muda wako kulisoma kama unataka kuhabarishwa.
 
UMEONA EEEH? KURA ZENYEWE WALIPATA ZA HURUMA TUU HIVI WANAHISI WATU WAKICHAGUA CHADEMA AU WALICHAGUA MTU? KWAMFANO WALE WATU WALIOSHINDA KUPITIA CHADEMA WANGEWEZA KUSHINDA KUPITIA CHAMA CHOCHOTE KILE mfano,MTU KAMA ZITO,HALIMA,NDESAPESA,SUGU,ARFI, etc hawa wanaeza gombea chama chochote wakashinda

NA KURA ZA CCM = NEC+UWT+MAJESHI+MAJINI+aLDAWI+ROSTAM(REC---) ULIMI NJE MNAFANYA KAZI YA KUIKABILI CHADEMA BADALA YA KUTEKELEZA AHADI ZENU HEWA.

WANANCHI HAWAWAULIZI WALA KUWADAI MAENDELEO KWA SABABU HAMNA UWEZO HUO NA WALA HAMJAWAHI KUWA NAO.
 
Avatar yako uneiweka sura yako kujinadi.....! Hata tabia yako inaonekana wazi kabisa.....! Kamwe sibishani na ........, maana nami nitaoneka .......... ilhali nimekamilika....!
 
Katibu wa CCM Kilimanjaro, tafadhali rejea hotuba ya Mkulu ya trh 28 Feb 2011 waweza kupata maudhui halisi na yakakusaidia. Hapo utaweza elewa kama wingi wa wabunge ndo nguvu ya umma au la!
 
WANANCHI wametakiwa kutobabaishwa na kauli zinazotolewa na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutokana na chama hicho kutokuwa na nguvu ya umma, na badala yake wajikite zaidi katika kuijenga nchi kwa mshikamano bila kubagua itikadi za vyama.

Aidha, viongozi wakuu wa Chadema wametakiwa kushukuru angalau kwa kuambulia ushindi katika majimbo 23 kati ya 239 ya uchaguzi nchini wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 31 mwaka jana.

Hayo yalisemwa na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Stevin Kazidi, wakati akihutubia wananchi wa Kata ya Kia wilayani Hai mkoani hapa, katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru wananchi na wanachama wa chama hicho kwa kuichagua CCM kuongoza nchi.

Kazidi alisema wananchi wanahitaji kutambua kuwa Chadema haina nguvu yoyote ya Umma, na kwamba chama chenye nguvu ya umma ni CCM kutokana na kuongoza nchi na kuwa na idadi kubwa ya wabunge.

“Watanzania hawajazoea vurugu kama za Chadema wanaotafuta madaraka kwa nguvu zote…uchaguzi umemalizika na kila chama kilipewa muda wa kufanya kampeni zake, wananchi walikata mzizi wa fitina nani anafaa na nani hafai ndo maana CCM ikashika
madaraka, kinachotakiwa ni kutekeleza mahitaji ya wananchi na si kuwaingiza katika malumbano ya siasa,” alisema Kazidi.

Alikitaka Chadema kushukuru kwa nafasi walioipata ya kuwa na wabunge 23 kutokana na wananchi kupiga kura za hasira kutokana na CCM kusimamisha wagombea wasiokubalika na kuondoa chaguo la wananchi, na kudai kuwa wananchi hao hawakukichukia chama bali mgombea aliyesimamishwa kugombea.

“Mbowe na chama chake wana majimbo 23 kati ya majimbo 239 wakati usiku na mchana wanazunguka wakisema wana nguvu ya umma, je hapo kuna nguvu ya umma kweli…

“Wananchi mnatakiwa kutambua muda mwingi viongozi wa Chadema wanatumia
kuzunguka kwa maandamano bila kutekeleza ahadi zao, lakini serikali inayoongozwa na CCM inaendelea kuwahudumia wananchi wake bila kubagua ni wa chama kipi,” alisema Kazidi Naye Katibu wa CCM Wilaya ya Hai, Hassan Mtenga, alisema wananchi wanahitaji kujipanga
upya kwa kufanya maamuzi ya kutowachagua viongozi wanaosusia vikao vya Bunge ambavyo vinasikiliza kero zao, hatua inayowafanya kutotatuliwa matatizo yao kwa vile viongozi hao hawawasilishi malalamiko yao.

“Kazi ya viongozi wa Chadema ni kupinga maendeleo ya serikali yanayoletwa kwa wananchi pamoja na kususia vikao vya Bunge ambavyo hutoa fursa ya kusikiliza matatizo ya wananchi na kuzitatua.

“Tabia ya viongozi hawa inarudisha nyuma maendeleo ya wananchi, ikizingatiwa sasa chama hicho kipo katika maandamano badala ya kuwahudumia wananchi,” alisema Mtenga.

source: habari leo

kweli mfa-maji haachi kutapatapa.

kweli ccm bado hawaamini tu kuwa kwa sasa wamefulia na wananchi hatudanganyiki?
 
Back
Top Bottom