MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Tunashukuru uchaguzi umemaliza na mshindi ameshatangazwa. Pongezi CDM, pongezi Nassari, pongezi wana Arumeru kwa kushinda, mlistahiki - Hongera sana!
Lakini wakati wa kampeni, tuliwasikia viongozi wa vyama vikuu vilivyokuwa vinachuana kila kimoja kikidai kuwa na haki kuliko chengine, kiasi cha kutambiana "piga, ua (more or less), lazima tushinde na tukishindwa hatukubali".
Mshindi kapatikana, je CCM wameyakubali matokeo? Na hawatazua zengwe lolote?
Na kama ingekuwa kinyume chake, CCM walitangazwa washindi, CDM wangechukua hatua gani?
Naomba wanavyama, wapenzi na mashabiki husika watoe maoni yao.
Lakini wakati wa kampeni, tuliwasikia viongozi wa vyama vikuu vilivyokuwa vinachuana kila kimoja kikidai kuwa na haki kuliko chengine, kiasi cha kutambiana "piga, ua (more or less), lazima tushinde na tukishindwa hatukubali".
Mshindi kapatikana, je CCM wameyakubali matokeo? Na hawatazua zengwe lolote?
Na kama ingekuwa kinyume chake, CCM walitangazwa washindi, CDM wangechukua hatua gani?
Naomba wanavyama, wapenzi na mashabiki husika watoe maoni yao.