Siamini kuwa hayo yatatokea.
CHADEMA cannot be the sole party with the responsibility to give civic education to the masses. Ni jukumu la kila chama cha siasa, Asasi zisizo za Kiserikali na mtu mmoja mmoja. Chadema wanafanya kazi kubwa sana ya kuelimisha umma na bado mchakato utaendelea hadi 2015. Hata wachache wakiianguka hiyo ni gharama ya ukombozi, waliobaki watasonga mbele hadi ushindi. Kama si 2015 basi 2020, nk.
Nimeshawi kusema katika forum kwamba tatizo la Watanzania wengi ni kupenda kutaka kufanyiwa mambo wakati wao wakikaa pembeni kama vile hawahusiki. Where ARE YOU BROTHER? JOIN THE STRUGGLE AND PLAY YOUR PART. TANZANIA NI YETU SOTE, SIO YA CHADEMA.
The struggle continues. GOD BLESS TANZANIA.
CHADEMA cannot be the sole party with the responsibility to give civic education to the masses. Ni jukumu la kila chama cha siasa, Asasi zisizo za Kiserikali na mtu mmoja mmoja. Chadema wanafanya kazi kubwa sana ya kuelimisha umma na bado mchakato utaendelea hadi 2015. Hata wachache wakiianguka hiyo ni gharama ya ukombozi, waliobaki watasonga mbele hadi ushindi. Kama si 2015 basi 2020, nk.
Nimeshawi kusema katika forum kwamba tatizo la Watanzania wengi ni kupenda kutaka kufanyiwa mambo wakati wao wakikaa pembeni kama vile hawahusiki. Where ARE YOU BROTHER? JOIN THE STRUGGLE AND PLAY YOUR PART. TANZANIA NI YETU SOTE, SIO YA CHADEMA.
The struggle continues. GOD BLESS TANZANIA.