Sure mkuu, mi mwenyewe live nimejionea nyomi ya kusin ilivyokuwa, 2015 patachimbika!
wote wamejiandikisha? watajitokeza siku ya kupiga kura?
Watazirudisha mkuu, kama hawataweza, basi tunapiga bei hadi vibanda vyao!Tumechoka 2015 mbali,unaweza kuamini just last month may CHIZI wa atcl na wenzake wamekwapua $1m kwa supplier fake?
wote wamejiandikisha? watajitokeza siku ya kupiga kura?
Tumechoka 2015 mbali,unaweza kuamini just last month may CHIZI wa atcl na wenzake wamekwapua $1m kwa supplier fake?