Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
- Thread starter
- #21
Quinine!!! hata hujavuta pumzi tayari, kwa kitisho hicho ndipo waberoya asiuone ukweli? hivi maana ya UKWELI ni UDINI??? Sikukudhani kama nawe uko namna hii. :teeth:Waberoya
Siku hizi umejishusha sana umejiunga na kundi la kina MS, sokomoko, Mwanamageuko and likes watu wanaoona udini ndiyo silaha kwao pole sana.