Mpendwa
Member
- Jun 9, 2011
- 56
- 11
We jamaa umelewa asubuhi hii??Huo mwongozo wa 1982 umefanya nini?? inamaana haukuwepo walipofanya ufisadi, ufedhuli na utapeli kwa taifa?? acha unafiki wewe hebu angalia jinsi taifa lilivyo ktk hali ngumu isiyoelezeka, usiongee maadam una domo, fikiria kwanza au ndo nyiee walewale?? Ndomaana unajiita PUMBATUPU nahisi ni PUMBATUPU zimejaa ndani yakoungetoa data ingependeza..unadai ni uwepo wa CDM ndio maana CCM inajivua gamba..nadhani umepotoka..Kasome Mwongozo wa CCM wa 1982 ambao unaelekeza chama kujikosoa na kujisahihisha..usiwe tu unakurukupia mambo..ebo?