CHADEMA ina washabiki wengi, Haina wapiga kura wengi

Hii ni kweli na sio uongo. CHADEMA kusema kweli imeteka watu wengi na kujiibulia washabiki wengi sana. Bali inawapiga kura wachache.

Unajua kura ni siri: Mtu anaweza akamshabikia mgombea fulani lakini ikifika wakati wa kupiga kura palepale ana badili na kumchagua mwingine, halafu akitoka anaendela kukushabikia.

Hii ndio inayo wacost CHADEMA itabidi wabadili mfumo si kufurahia ushabiki wa watu. Wawatake watu wawe na vitabulisho vay kupiga kura. pili wawaombe watu waende kupiga kura.

Au mnaonaje?
Unachosema ni kweli, sasa hata mimi ndio naelewa kwa nini kuna watu bunge maalum wanadai kura ya wazi. Naamini kungekuwa na kura ya wazi cdm ingeweza kupata picha halisi ya nani ni mshabiki wa kweli. Nionavyo mimi wengi ni wanafiki anakusifia sana lakini akiwa peke yake anampigia mwingine. Pia nadhani hata mfumo mzima wa Kampeni wangebadilisha na sasa wazungumzie zaidi mambo ya pale walipo sio kuzungumzia tu posho za wabunge na mambo ambayo wakati fulani ni kero. Mfano kuna mtu aliongea kuwa huyu mtoto badala ya kuhoji kifo cha baba yake anakubali tu kugombea. Maneno kama ha ya hayafai wakati wa kampeni. (Nayo ni sawa na kutongoza)
 
Hivi jamani mnao ilaumu chadema mnakosea mngejua tunayo fanya tena kwa shinikizo kubadili ukwel kuwa siyo hata msinge sema neno ila nacho shauri mpiganieni kuboreshwa kwa daftali la kupigia kura ili watu wajiandikishe chadema sehemu zote huwa wanashinda ila inatumika nguvu za ziada tena kubwa tena unaambia hata iwe ni kwa kumwaga damu lakini ushindi ni kwa ccm
 
Hilo ni kweli. Kitu muhimu kabisa kwa CDM ni kudai kila aliyetimiza umri wa kupiga kura apewe fursa ya kuandikishwa.

Sehemu kubwa sana ya vijana ni 'mashabiki wa CDM' lakini hawapo kwenye daftari la wapiga kura.

CDM isaidie vijana kufungua kesi za kunyimwa haki ya kikatiba ya kupiga kura. Kuwe na vijana watakaotafuta court order ya kuzuia uchaguzi mdogo unaokuja mpaka wapewe haki ya kushiriki kwanza.

Ni kukosa busara kudhani wanaoathirika na uboreshwaji saftari la wapiga kura ni chama fulani tu. vyama vyote vina wapenzi wao ambao wanaikosa nafasi hii
 
Hoja yako haina mantiki, kama cdm imekataliwa imekaliwa kwani sehemu mlizoshinda hakukua na Tume? Huu ni uchaguzi lazima ukubaliane na matokeo ndio siasa.


Wee hoja yako haina mashiko ikitokea leo kuna Revolution kama Egypt ukaitishwa uchaguzi wa huru na haki CCM watashinda? Labda kwa ufisadi ni Afrika tu na nchi zenye rushwa kubwa chama tawala always hushinda hata kama kinaboronga madarakani na ni ulaya na Marekani ya Kaskazini tu opposition hushinda bila vurugu kutokea kwa Afrika mpaka mbinde. Huko kwingine Chadema wameshinda baada ya kutwaa kwa nguvu haki zao na kila sehemu yenye ushindani CCM wamefanya fujo
 
Sombetini je vipi napo, mbona mmeshinda? Dola haikuwepo? Kubalini chadema ya leo haikubaliki tena.


Walishinda sababu ya people's power mkuu CCM hawakubariki wanashinda kwa mabavu na rushwa pia vitisho. Mfano nilikuwa Kilombero pale Ruaha CCM wameshindwa uwenyekiti wa mtaa ule na udiwani wamefuta matokeo sababu wanaogopa mji wa Ruaha kuwa upinzani na pale pana pesa Kilosa nzima. Na wana Ruaha wanasema CCM haina chake pamoja na rushwa yake mpaka kielewe
 
Hivi jamani mnao ilaumu chadema mnakosea mngejua tunayo fanya tena kwa shinikizo kubadili ukwel kuwa siyo hata msinge sema neno ila nacho shauri mpiganieni kuboreshwa kwa daftali la kupigia kura ili watu wajiandikishe chadema sehemu zote huwa wanashinda ila inatumika nguvu za ziada tena kubwa tena unaambia hata iwe ni kwa kumwaga damu lakini ushindi ni kwa ccm

hembu fikilia MKUU kama kalenga wametumia daftari la 2010 na Leo hii ni mwaka 2014 .
hii miaka 4 kuna wananchi wangapi wamefikia umri wakupiga kura??

ccm inajua sana haya ndio maana inafanya makusudi
 
Sombetini je vipi napo, mbona mmeshinda? Dola haikuwepo? Kubalini chadema ya leo haikubaliki tena.


Kila palipo na ushindani CCM lazima wafanye fujo kwa sasa Tanzania maisha magumu, mfumuko wa bei mkubwa, hakuna ajira, viongozi wa CCM wezi wameficha mapesa Uswiss, wanarithishana ufaume baada ya Vita Kawawa, Zainabu Kawawa, Hussein Mwinyi, Paul Mzindakaya, Mgimwa na sasa Ridhwan Kikwete wananchi wanaona na wanachuki na CCM ushindi wao always ni mabavu, rushwa, vitisho, vurugu na vyombo vya dola
 
Hoja ina mantiki ila siyo kwa uzito wa maelezo yako mkuu.Mwanachama ndiyo anaweza kuchagua mgombea anayemkubali lakini je kweli wewe chadema fu unachagua ccm?hainiingii vzuri.Tatizo lipo kwenye mahudhurio ya chaguzi na daftari letu la kupigia kura!Sijawahi kutana na mwanachama wa chadema anyemkubali mgombea wa ccm though the opposite is very familiar to me.chadema iangalie hili daftari,bila hivyo wataruka sana na chopa ushindi nehieee!!
 
Mkuu Annael angalia mbinu za MaCCM, vitisho, hila rushwa na wizi!!
Hivi kweli ni sawa kuchukua shahada eti uwape watu pembejeo kipindi cha Uchaguzi??
Vitisho, wapiga kura zaidi ya 15,000 wamekwenda wapi hebu jiulize??
 
Last edited by a moderator:
tatizo la chadema ni viongozi. siasa zao za vurugu , fujo na maandamano zinazoongozwa na lema na mbowe zinakubalika arusha tu. ,sehemu nyingine wanataka siasa za amani.
 
CCM haina wapiga kura wengi, ila ina WAJINGA wengi!

Ni aibu kwa mtanzania yeyote mwenye akili timamu kuipigia kura CCM!

NI AIBU!
 
Inaonekana hujui ushabiki na ufuasi ndiyo maana umechopeka mashabiki na wapiga kura.pole
 
Kila nikijaribu kufikiri nashindwa kuelewa ccm wanashindaje? ila hii inawafundisha makamanda kuwa 2015 tujipange na kuwa majasiri zaidi
 
Back
Top Bottom