Huu ni ushindi mkubwa kwa CDM kufuatia kukubalika kwa hoja na mantiki za hoja.
CCM ilijua ni upepo kumbe ni kimbunga. JK kuvunja baraza la Mawaziri ni kudhihirisha sasa kuna taa nyekundu inawaka na inakuja kwa kasi.
Aliona kuna walakini hoja ya Zitto ikipita watapata aibu kubwa sana???
JK anamkosi au ninini?????
CCM ilijua ni upepo kumbe ni kimbunga. JK kuvunja baraza la Mawaziri ni kudhihirisha sasa kuna taa nyekundu inawaka na inakuja kwa kasi.
Aliona kuna walakini hoja ya Zitto ikipita watapata aibu kubwa sana???
JK anamkosi au ninini?????