masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Mahakama haitaongelea MAANA ya kuchukua pesa toka nje , itajiridhisha kama KWELI CDM imechukua pesa toka nje.Kwani kuchukua pesa kutoka nje ni kuuza nchi?.
Hivyo ni vitu viwili tofauti kisheria.