Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Kwa mtazamo wa haraka na ninavyoona kada mbalimbali zinavyoamka kudai haki zao za msingi na jinsi serikali haikujipanga kufanya mambo kwa utaratibu unaweza kuaminika na kukubalika ni dhahiri elimu ya uraia ya Chadema imewafungua akili wengi. Serikali ijue sasa wananchi wameanza kuelewa nini serikali inatakiwa iwafanyie na haki zao za msingi haziwezi kuwekea rahani maisha yao kwa ajili ya wachache wanaonufaika na matunda ya mti tunaomwagilia wote.