Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,482
- 14,352
Hivi cdm walipotosha kitu gani! TBC1 walimrekodi akisema juu ya chama kuadhiliwa na nchi za kigeni ikiwa i mwendelezo wa kile alichokisema waziri mwenzake SS ch10, ndugu {usiongozwe na tumbo ukakiacha kichwa chako kimelala}
Kwenye mabano hapo mzee... Kula tano