nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,513
- 19,998
Chadema wamezoea sana kuzidisha na kupotosha umma. hao hao walidanganya kuwa Mkuu wa Mkoa Shinyanga amefariki, na hao hao tena jana tu wamezua kuwa magufuri kajiuzulu. Na kesho watasema mengine.
hakika Chama hiki kimejaa wanafiki na waongo wakubwa sana katika kutaka kuleta balaa nchini.
hapo kwenye red inaonyesha uwezo wako wa kuelewa ni mdogo na ni mpotoshaji,.dr slaa alisema kuwa na nanukuu"nimepata taarifa zisizothibitishwa kuwa mkuu wa mkoa wa shinyanga amefariki,kama ni kweli,kama ni kweli amefariki maana sijazithibitisha basi apumzike kwa amani maana jana nilimsema kwenye mkutano"..kifo walichokizusha CDM hapo ni kipi au uelewa wa ccm ni mdogo??