NOT FOUND
Senior Member
- Mar 14, 2011
- 158
- 59
Huu ndio ukweli halisi whether you like or not na ukitaka kuliona hili ni nguvu ambayo MAGAMBA waliitumia Igunga ikiwemo hadi kufikia kuwavamia makamanda wa CHADEMA hotelini na kuwafyatulia risasi, na hata kumwagiana tindikali na kuwasingizia CDM.
Sababu kubwa niliyoiona ni kwamba, CHADEMA walianza vyema na speed nzuri Arumeru mashariki, lakini siku zinavyoenda naona CHADEMA wanapunguza mashambulizi na wao ndio wanaozidi kushambuliwa zaidi, hata mikutano ya CCM kwa sasa imechangamka ukilinganisha na wiki mbili zilizopita.
Pia its like kuna migogoro inayoenda ndani kwa ndani kwenye CHADEMA, na pia kuchafuana au kuchafuliwa kumezidi sana this time ukilinganisha na Igunga.
Kumbuka Igunga CCM walifikia hata hatua ya kupeleka vyakula kwenye kampeni ili angalau watu wawe wengi, wakati ukiangalia mikutano ya CHADEMA watu walikuwa wengi sana na mapambano ya kutosha,
Mimi ni mwana CHADEMA, lakini iwapo tutashindwa kulipata jimbo la Arumeru Mashariki licha ya weakness zote za mgombea wa CCM (Uraia, Hajui kuongea mbele ya watu, Mpasuko wakati wa kura za maoni), basi kwa kweli 2015 tusahau kushinda.
Najua hata Nape na mkuru wanatamani CHADEMA washinde Arumeru, I wapo CHADEMA itashindwa, naacha rasmi kushabikia siasa za Bongo kwani ntaona ni kujipa presha zisizo na faida maishani.
IGUNGA 2011 (Chakula)
IGUNGA 2011 (Pombe):
Sababu kubwa niliyoiona ni kwamba, CHADEMA walianza vyema na speed nzuri Arumeru mashariki, lakini siku zinavyoenda naona CHADEMA wanapunguza mashambulizi na wao ndio wanaozidi kushambuliwa zaidi, hata mikutano ya CCM kwa sasa imechangamka ukilinganisha na wiki mbili zilizopita.
Pia its like kuna migogoro inayoenda ndani kwa ndani kwenye CHADEMA, na pia kuchafuana au kuchafuliwa kumezidi sana this time ukilinganisha na Igunga.
Kumbuka Igunga CCM walifikia hata hatua ya kupeleka vyakula kwenye kampeni ili angalau watu wawe wengi, wakati ukiangalia mikutano ya CHADEMA watu walikuwa wengi sana na mapambano ya kutosha,
Mimi ni mwana CHADEMA, lakini iwapo tutashindwa kulipata jimbo la Arumeru Mashariki licha ya weakness zote za mgombea wa CCM (Uraia, Hajui kuongea mbele ya watu, Mpasuko wakati wa kura za maoni), basi kwa kweli 2015 tusahau kushinda.
Najua hata Nape na mkuru wanatamani CHADEMA washinde Arumeru, I wapo CHADEMA itashindwa, naacha rasmi kushabikia siasa za Bongo kwani ntaona ni kujipa presha zisizo na faida maishani.
IGUNGA 2011 (Chakula)
IGUNGA 2011 (Pombe):