CHADEMA iko tayari kuongoza?

Hebu subiri kidogo, umeweza kuwaamini CCJ ambao so far ni mysterious, lakini huwezi kuwaamini CHADEMA walioweza angalau kuleta mabadiliko bungeni! Kuna kitu hujatuambia kuhusu CHADEMA na CCJ. In any case, watu hubadilisha uongozi kutokana na sababu moja kati ya hizi zifuatazo:
i) kushindwa kwa chama kilichopo madarakani
au​
ii) kuwapo chama bora zaidi kuliko kinachotawala
au
iii) yote mawili hapo juu.

Tunaweza kubishana kuhusu ii) na iii). Lakini tunakubaliana unanimously kuhusu i) na hii ni sababu tosha ya kuifukuza CCM. Sasa tutafute sababu ingine ya kuendelea 'kudumisha ndoa yetu' na CCM. Kwamba Chadema wanaweza au hawawezi sio sababu ya kuendelea kuwachagua CCM.
 
Kina watu wa kuunda Serikali:

Slaa - Rais
Zitto-Waziri Mkuu
Lissu-Waziri wa Sheria
Mbowe-Waziri wa Fedha
Mwanakijiji - Waziri wa Habari
 
Mzee Mwanakijiji,
[Je Chadema ilivyo sasa iko tayari kuongoza taifa la watu milioni 40 kwa ubora na kwa maono bora zaidi na mfano mzuri wa kiuongozi katika ngazi zote kuliko CCM? Ni nini msingi wa imani ya wale wanaoona kuwa iko tayari?
Mkuu sasa naiona sababu ya watu kukuita wewe CCM.. wakati wewe unajiuliza uwezo wa chadema ukilinganisha na CCM ni vichekesho vitupu kwani ni sawa na mwanamke anayekataa kuomba talaka kwa kuazama wanaokuja kuposa, akidhani hakuna mwanamme mwingine anayeweza kuwa mume zaidi ya mumewe.
Kama swali lako lingekuwa kwa nini Chadema na sio CUF au TLP au NCCR ungeweka urahisi wa watu kukujibu lakini unapotumia chama kinacho ku abuse kuwa ndio kipimo cha Uongozi ni lazima hutawaelewa wengine.

Mimi nitakujibu vizuri tu, CUF siwaamini kwa sababu wamejikita Zanzibar kiasi kwamba wamefikia Muafaka na CCM ktk utawala wa Zanzibar..they are more interested in Mustakabali wa Muungano ambalo sii jambo baya.. Wanayo right hiyo kama chama kwani hata hapa Canada kuna PQ wanaosimama kwa maslahi ya Quebec. Above all, I don't trust Seif Sharrif Hamad..

TLP ni chimbuko la mgawanyiko wa NCCR ambao nina uhakika kuna Mapandikizi ya CCM ambao ndio chanzo cha kugawanyika baada ya Uchaguzi wa mwaka 1995. Halafu tatizo kubwa la vyama hivi ni wahusika wake wakuu ambao ndio waamuzi wa kila kitu...

Chadema nao wana matatizo yao kuhusiana na viongozi wake pamoja na kwamba chama hiki kimetokana na fikra halisi ya Upinzani wa Itikadi toka enzi ya mzee Mtei... Ni chama ambacho kwa miaka ya hivi karibuni tumeona vichwa tofauti vikisimama kwa Upinzani ila kumetokea mahusiano mabaya baina ya viongozi kutokana na kosa moja kubwa la kiutawala - Kila mtu ni mwakilishi na msemaji wa chama,jambo ambalo lilisababisha mgongano baina ya wananchama.
Pili, chama kinashindwa kuvumilia upinzani wa ndani katika maswala yasiyohusiana kabisa na itikadi,sera au ilani ya chama isipokuwa challenges ktk nafasi za madaraka...Hata hivyo ni ktk kushindana huko tumeona mabadiliko makubvwa ya viongozi ngazi tofauti za utendaji kiasi kwamba leo kina Zitto, Dr.Slaa, Mnyika, Kitila na wengineo wameshika nyadhifa kutokana na uwezo wao na bado wanakuwa challenged kufanya zaidi..
Mkuu kama nilivyosema huko nyuma, mimi ni conservative sikubaliani na itikadi ya mrengo wa kati isipokuwa kila kitu kina wakati wake kulingana na watu na Mazingira. Katika hali tulokuwa nayo, mrengo wa kati nadhnai ndio itikadi inayotakiwa kutuunganisha ili kupata mabadiliko..kuwaunga mkono haiondoi imani yangu ktk mrengo wa kulia hata kidogo, kwani kinachotakiwa kufanyika sasa hivi ni kufunga mikanda yetu na kwenda vitani. Wanajeshi wanapokuwa vitani huweka kando imani zao za itikadi hadi ushindi upatikane..same with the war against Terorism,vita hii has nothing to do with Itikadi ya kiongozi, wananchi au wanajeshi kwenda Afghanistan..Tunachoweza kujiuliza ni Je, vita against Terrorism (CCM) ni halali au sio halali?
 
Kina watu wa kuunda Serikali:

Slaa - Rais
Zitto-Waziri Mkuu
Lissu-Waziri wa Sheria
Mbowe-Waziri wa Fedha
Mwanakijiji - Waziri wa Habari
 
Ndo maana kuna 'Labda'.............inawezekana hii ndo sababu ya kuifanya iingie madarakani...Ukiuliza nini mafanikio ya CHADEMA utatajiwa operesheni Sangara na vita dhidi ya ufisadi.........zaidi ya hapo mhhhhhhhhhhhhhhh
kaka¬¬¬¬ nakuangalia kwa jicho tofauti sasa!!! Toa uchambuzi wa unayoyasema ili tukubaliane na MMMhhhhhh!!kama wewe!
 
Jibu la swali hilo lipo kwenye matamshi ya Muasisi wa Chadema Mzee Edwin Mtei...

" amewataka viongozi wa Chama cha Jamii (CCJ), kuhamia Chadema, ili wawe katika nafasi mzuri ya kuendeleza upinzani wa kweli hasa kama chama hicho hakitapata usajili wa kudumu ndani ya mwaka huu.Mtei alitoa rai hiyo jana alipokuwa akizungumza na Gazeti la Mwananchi" kwa matamsha ya muasisi yanatupa picha ya kisakolojia ya Chadema na vyama vinginekwa kuelekea uchaguzi ujao 2010. Kwa sasa Mtei anaona role ya Chadema ni kutoa Upinzani wa kweli

Itakuwa ni maajabu kwa kipindi kifupi endapo CCJ ambayo matumaini yake makubwa ni CCM-B itaweza kuchukua serikali ktk uchaguzi huu 2010! Na kutoka CCM tusitarajie mabadiliko ya kweli hapa napingana matamshi ya Mwl J. Nyerere... nitumie mfano wake mwenyewe kwa CCM! Generation ya wanasiasa CCM na siasa za "clique" ni kama simba aliyeonja nyama ya mtu, wakihamia CCJ wataendeleza tabia zao... hayo tumeyaona kwa jirani zetu Kenya NARC na FORD O, FORD K...

Chadema ni mwanzo mzuri ni chama serious..., kinamapungufu, tujifunze kutokana na vyama vilivyopata mafanikio nchi nyingine kama vile ANC; kujisahihisha na kubadilika. Kama Chadema ni strong northern zone hiyo siyo ukabila au dhambi ila basi zifanyike juhudi kufanya popular south pia na penginepo, pengine hata kufanya mazumngumzo na CUF kuunganisha vyama kuunda chama kitakachukua tayari kuchukua serikali na kuondoa dhana potofu ya ukabila au udini. Hivyo ndivyo siasa zinavyofanywa pengine duniani...

Tahadhari kubwa kwa Chadema ni mapandikizi ya CCM kama walivyofanya kwa NCCR-Mageuzi. Mrema, Marando, Bagenda Mbatia na wenzake
Huyo aliye na alama nyekundu sasa yuko sisi m ni shabiki mzuri wa JMK. Tena nasikia anajitayarisha kuja kumpigia Tibaijuka kampeni Muleba ili amuondoe Masilingi. Bado ana beef la kushindwa mara kama tatu kwenye uchaguzi Muleba.
Mwanakijiji endelea kuomba Mungu ili sisi j ipate usajili.
Shida itakuja pale nitakaposikia imeanzishwa na sisi K na wewe umejiunga kule kwa kuwa unadhani sisi J hawana kitu. Huo ndio mtindo wa kibongo. Bwahahahahahaha
 
Huyo aliye na alama nyekundu sasa yuko sisi m ni shabiki mzuri wa JMK. Tena nasikia anajitayarisha kuja kumpigia Tibaijuka kampeni Muleba ili amuondoe Masilingi. Bado ana beef la kushindwa mara kama tatu kwenye uchaguzi Muleba.
Mwanakijiji endelea kuomba Mungu ili sisi j ipate usajili.
Shida itakuja pale nitakaposikia imeanzishwa na sisi K na wewe umejiunga kule kwa kuwa unadhani sisi J hawana kitu. Huo ndio mtindo wa kibongo. Bwahahahahahaha

siombi Mungu... Mungu si mwanasiasa..
 
Hebu subiri kidogo, umeweza kuwaamini CCJ ambao so far ni mysterious, lakini huwezi kuwaamini CHADEMA walioweza angalau kuleta mabadiliko bungeni! Kuna kitu hujatuambia kuhusu CHADEMA na CCJ. In any case, watu hubadilisha uongozi kutokana na sababu moja kati ya hizi zifuatazo:
i) kushindwa kwa chama kilichopo madarakani
au​
ii) kuwapo chama bora zaidi kuliko kinachotawala
au
iii) yote mawili hapo juu.

Tunaweza kubishana kuhusu ii) na iii). Lakini tunakubaliana unanimously kuhusu i) na hii ni sababu tosha ya kuifukuza CCM. Sasa tutafute sababu ingine ya kuendelea 'kudumisha ndoa yetu' na CCM. Kwamba Chadema wanaweza au hawawezi sio sababu ya kuendelea kuwachagua CCM.

Kitila.. kuifukuza CCM siyo suluhisho la matatizo yetu. Hii ndiyo pointi ambayo haitaki kuzama ndani ya watu. Hatuwezi kusema tuifukuze tu CCM for the sake of kuifukuza ili tarehe 30 Oktoba tushangilie kuwa hatimaye CCM imeng'oka. To me it is more important to articulate what we want after Oktoba 30 CCM ikiwa nje ya madaraka..

Hakuna mtu anayetaka kutuambia.

Labda Mwalimu uniambia. After 100 days CHadema itafanya nini tofauti na ambacho kingeweza kufanywa na CCM kuashiria ujio wa mabadiliko? Na baada ya siku 365 ni kitu gani kitakuwa tofauti kwa Watanzania au katika Tanzania. Amuse me.
 
Let's face it. CCM wenyewe hawawezi kuongoza. Kwa kifupi ni hakuna anayeweza kuiongoza Tanzania kwa sasa. Kama yupo mtajeni tumchambue hapa. Hili linchi linajiendesha lenyewe tu.
Mwanakijiji wa sisi J. anaweza kuliongoza linchi hili NN
 
Kina watu wa kuunda Serikali:

Slaa - Rais
Zitto-Waziri Mkuu
Lissu-Waziri wa Sheria
Mbowe-Waziri wa Fedha
Mwanakijiji - Waziri wa Habari

Oh hell no..Zitto hana temparament ya kuwa kiongozi wa juu hivyo. Hafai kabisa. Ni mjeuri, mwenye kujisikia, na wa kujifanya mjuaji sana. Hafai kabisa huyu kadogoo.

Kitila mbona hujamweka hapo? Hata dogo Mnyika ana afadhali mara 100 kuliko Zitto....
 
Kitila.. kuifukuza CCM siyo suluhisho la matatizo yetu. Hii ndiyo pointi ambayo haitaki kuzama ndani ya watu. Hatuwezi kusema tuifukuze tu CCM for the sake of kuifukuza ili tarehe 30 Oktoba tushangilie kuwa hatimaye CCM imeng'oka. To me it is more important to articulate what we want after Oktoba 30 CCM ikiwa nje ya madaraka..

Hakuna mtu anayetaka kutuambia.

Labda Mwalimu uniambia. After 100 days CHadema itafanya nini tofauti na ambacho kingeweza kufanywa na CCM kuashiria ujio wa mabadiliko? Na baada ya siku 365 ni kitu gani kitakuwa tofauti kwa Watanzania au katika Tanzania. Amuse me.

CCJ mna mambo....mmeshakuwa wapinzani wa CHADEMA. Mkikosa usajili mtakimbilia wapi wakati CHADEMA ndio mkakati B wenu? Msidanganye kuwa mtarudi CCM maana nijuavyo kunyia kambi ndio dhambi pekee ndani ya CCM....

omarilyas
 
Yaani sijaelewa kabisa na jinsi watanzania tunavyojishusha.
Watu wanadhani sisi M iliundwa kutawala milele hata wakiweka jiwe kama mgombea litashinda?
Mimi sioni mjadala huu una maana gani. Mwanakijiji, nina hakika Chadema wana mipango yao kama Chama na si lazima waiweke hapa. Subiri muda ukifika wataiweka hadharani. Na nina amini wakipewa ridhaa wanaweza. Kwa nini wasiweze? kwa sababu ipi we unadhani hawawezi?
Hata hivyo ni aibu watanzania kusema hakuna chama cha upinzani kinachoweza kutawala ingawa sisi hatulidhiki na utawala. Maana yake ni kwamba hata wanaopiga kelele wanataka kutuambia na wao hawawezi.
Kumbukeni pia na mfumo wa uchaguzi wetu ulivyo. Si kwamba upinzani haushindi, ila foul ni nyingi kwa kweli.
Mwanakijiji niliwahi kusema kitu kuhusu Sisi j siku za nyuma na nadhani mashaka yangu ni yale yale.
 
Oh hell no..Zitto hana temparament ya kuwa kiongozi wa juu hivyo. Hafai kabisa. Ni mjeuri, mwenye kujisikia, na wa kujifanya mjuaji sana. Hafai kabisa huyu kadogoo..

Miafrika ndio tulivyo....mtu akijiamini..ana jeuri...anajisikia...anajifanya mjuaji....etc etc
 
CCJ mna mambo....mmeshakuwa wapinzani wa CHADEMA. Mkikosa usajili mtakimbilia wapi wakati CHADEMA ndio mkakati B wenu? Msidanganye kuwa mtarudi CCM maana nijuavyo kunyia kambi ndio dhambi pekee ndani ya CCM....

omarilyas
Sisi M. wanapenda watu wa aina ya Sisi J. Maana wakishatikiswa siku zote utaka kumkaribisha adui na kumpa kiti kidogo cha mtawala. Bila shaka wote watakimbilia Sisi M kuliko watakavyoweza kukimbilia Chadema.
 
Kitila.. kuifukuza CCM siyo suluhisho la matatizo yetu. Hii ndiyo pointi ambayo haitaki kuzama ndani ya watu. Hatuwezi kusema tuifukuze tu CCM for the sake of kuifukuza ili tarehe 30 Oktoba tushangilie kuwa hatimaye CCM imeng'oka. To me it is more important to articulate what we want after Oktoba 30 CCM ikiwa nje ya madaraka..

Lakini unakubali kuwa kuifurumusha CCM kutoka madarakani ndio mwanzo wa suluhisho la matatizo yetu?

Hakuna mtu anayetaka kutuambia.

Labda Mwalimu uniambia. After 100 days CHadema itafanya nini tofauti na ambacho kingeweza kufanywa na CCM kuashiria ujio wa mabadiliko? Na baada ya siku 365 ni kitu gani kitakuwa tofauti kwa Watanzania au katika Tanzania. Amuse me.

Ikiwa juu yangu mimi basi nitaanza na kuondoa wasteful spending e.g. kama kuwaleta Brasil kwa ada ya dola milioni 6 na ushee...huu ni mfano tu wa wasteful spending kama vile hatuna matatizo mengine yaliyo pressing zaidi....
 
Back
Top Bottom