Selous
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 1,325
- 144
Saa nyingine ukiwa kijijini hata magazeti ya Dar Leo na Alasiri si rahisi kuyapata labda kwa Kibonde au RFA........ Wale walio Kigoma, Tarime na Karatu mtuambie mambo ya chadema huku......... ila la nchi na uwezo wa kuongoza tujadili. Hata sisi Chadema tunapenda kujadili......... Ila usituhukumu maana hatujapewa kukashindwa.......