Elections 2010 Chadema iko mwake hasa

Kanyafu Nkanwa

JF-Expert Member
Jul 8, 2010
849
103
Wednesday Sept 01, 2010

08_10_9ha1yf.jpg
A CCM member, Mr Ipyana Seme, displays CHADEMA membership cards surrendered by people who defected to the ruling party , during a campaign rally at Mbalizi in Mbeya Region on Sunday. Left is CCM Union Presidential candidate Mr Jakaya Kikwete. (Photo by John Lukuwi)
 
Wednesday Sept 01, 2010

08_10_9ha1yf.jpg
A CCM member, Mr Ipyana Seme, displays CHADEMA membership cards surrendered by people who defected to the ruling party , during a campaign rally at Mbalizi in Mbeya Region on Sunday. Left is CCM Union Presidential candidate Mr Jakaya Kikwete. (Photo by John Lukuwi)

Haina mvuto. NImejuta kufungua, nilidhani mambo yanayohusiana na CHADEMA kumbe ni ufisadi tu unaoendelea hapa. Kula ccm kura CHADEMA, mwaka huu mpaka kieleweke.
 
Taahira pekee ndo anaweza leo kuwa CCM akahamia Chedema, na kesho akahama Chadema akarudi CCM. Hao watu wana mapepo!! Peleka mirembe. Watu makini tumetulia. Tutakutana kwenye masanduku Oktoba 2010.
 
I sense something fishy.

Hizo kadi mbona zote mpya zimejipanga kama karata zilizotoka kwenye kasha? Kama kweli hizo ni kadi za wanachama waliokuwa CHADEMA, kwa kawaida ungetegemea kuona zikiwa katika hali tofauti tofauti za uchakavu.
 
Wednesday Sept 01, 2010

08_10_9ha1yf.jpg
A CCM member, Mr Ipyana Seme, displays CHADEMA membership cards surrendered by people who defected to the ruling party , during a campaign rally at Mbalizi in Mbeya Region on Sunday. Left is CCM Union Presidential candidate Mr Jakaya Kikwete. (Photo by John Lukuwi)

Wazee wakuchakachua utawajua tu! nina wasiwasi na hizo kadi kama hazi kuchakachuliwa sijui :whistle::whistle:
 
Mie nilitarajia nione picha ya hao watu mianne, niwahesabu mmojammoja, ndipo niridhike. Kweli rahisi wetu anadanganyika sana
 
Back
Top Bottom