NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Honestly CCM have done the massive reconstitute in CC, Nina imani na wajumbe karibia wote isipokuwa January who we all believe that he is a puppet. Mtu kama Mkama, Nape, Chligati hawana makundi kabisa kwahiyo CCM kwa 90% inaweza ikarudi kama chama hai. Nikiwa kama mwanachadema naona hii ni challange kwetu na kuna haja ya kujipanga upya.