Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kushinikiza Dowans itaifishwe, Ngeleja ajiuzulu na kujijenga kisiasa na kiuongozi kuelekea uchaguzi wa mitaa? Wanangojea upendelem gani kwa Mungu au hadi awateremshie magunia ya kura?
Kushinikiza Dowans itaifishwe, Ngeleja ajiuzulu na kujijenga kisiasa na kiuongozi kuelekea uchaguzi wa mitaa? Wanangojea upendelem gani kwa Mungu au hadi awateremshie magunia ya kura?
Duh, hata mimi nashangaa! Kwanza alianza Zitto kuitumia vibaya nafasi yake na Waandishi wa Habari sasa CHADEMA, Kila mtu sasa hivi anaguswa namgao wa Umeme, take the opportune wakuu, you will draw attention ya kila Mpiga Kura
Vyombo vyote vya dola kuanzia Keshi, FFU, Polisi, na hata Mgambo wataitwa ili kupambana na wakorofi wachache wanaotaka kuharibu "amani" ya Tanzania. Kutakuwa na mkong'oto wa mama nitazamie si ajabu baadhi wakaumia sana hata kupoteza maisha.
Kushinikiza Dowans itaifishwe, Ngeleja ajiuzulu na kujijenga kisiasa na kiuongozi kuelekea uchaguzi wa mitaa? Wanangojea upendelem gani kwa Mungu au hadi awateremshie magunia ya kura?
Kushinikiza Dowans itaifishwe, Ngeleja ajiuzulu na kujijenga kisiasa na kiuongozi kuelekea uchaguzi wa mitaa? Wanangojea upendelem gani kwa Mungu au hadi awateremshie magunia ya kura?
Nadhani ni muda muafaka kabisa. JK alipoingia madarakani ahadi zake zilikuwa ni pamoja na kulitafutia ufumbuzi tatizo la umeme, Sijui kama maana yake ilikuwa na maanisha ya kuingiza rich?dowans!
Nyimbo na ngonjera nyingi zimechezwa vya kutosha, ni wakati wa kusema sasa basi.
Kushinikiza Dowans itaifishwe, Ngeleja ajiuzulu na kujijenga kisiasa na kiuongozi kuelekea uchaguzi wa mitaa? Wanangojea upendelem gani kwa Mungu au hadi awateremshie magunia ya kura?
Lyatonga A. Mrema yuko wapi tumpe hii dili.....Chadema hawana ubavu huo...!! wala historia hio hawana...!!! na Ma-oppurtunist fulani tu!!!
Kushinikiza Dowans itaifishwe, Ngeleja ajiuzulu na kujijenga kisiasa na kiuongozi kuelekea uchaguzi wa mitaa? Wanangojea upendelem gani kwa Mungu au hadi awateremshie magunia ya kura?
Kushinikiza Dowans itaifishwe, Ngeleja ajiuzulu na kujijenga kisiasa na kiuongozi kuelekea uchaguzi wa mitaa? Wanangojea upendelem gani kwa Mungu au hadi awateremshie magunia ya kura?[/QUO
Asante kwa ushauri wa nguvu....
Tuwape siku mbili tu tuwasikie watasemaje?
Mkuu ungejua tu kwamba Ngeleja hawezi kukubaliana na Utaifishaji kwani Dowans ni mali ya mtandao, hivi kweli ulitegemea atasema nini?..Ningeshauri iitishe maandamano ya kupinga ushauri wa Zitto na kupongeza ujasiri wa Ngeleja kupinga kutaifishwa kwa DOWANS.
Mkuu ungejua tu kwamba Ngeleja hawezi kukubaliana na hili kwani Dowans ni mali ya mtandao unategemea atasema nini?..
Mkuu mnajaribu sana kutumia vitabu mahala ambapo hapastahili.. Kwanza fahamu Bongo inaendeshwa vipi ni rahisi sana kuwashtukia vibaka..