Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,403
- 8,891
Ipo siku ndio utajua nani kajaza kamasi kwenye ubongo, haya yoote yatabackfire bigtime!Ni vigumu sana kuelimishwa ukaelimika, ubongo wako utakuwa umejaa kamasi. Watu wamejitahidi kukuelimisha lakini bado unashikilia misimamo ya kijinga tu.