Ferds
Hivi kweli ummeshindwa kabisa kuelewa msimamo wa CDM mpaka sasa? .........hivi kweli nchi hii vilaza ni wengi .....
Kerengende mimi nimechoka zaidi yako kwa hili... hivi kilichotokea mbona JK anakijua na ni effective consideration ya ile action ndiyo inayosubiriwa kwa yule mpenda maendele na kiongozi wa haki... HR waliweka kunji zanzibar miezi zaidi ya nane.... sasa nini ugomvi wa chadema kuexpress genuine demands
ahhhhh hata mimi nachoka