Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,467
- 92,857
Naomba msaada wa mkalimani bandugu, hapo kwenye RED dictionary zote zimegoma kulitambuwa hilo neno.Ingorance is bliss!! Ahahah! Ngoja nikugongee Thanks
Naomba msaada wa mkalimani bandugu, hapo kwenye RED dictionary zote zimegoma kulitambuwa hilo neno.Ingorance is bliss!! Ahahah! Ngoja nikugongee Thanks
with all due respect, mkuu wangu haya ni matusi makubwa sana kwa waislaam..Huyu ni wa kumsalia tu kama marehemu Muhamad,........
Mkuu Mkandara! Huyo usisumbuke nae kabisa ni Rev Masanilo, hizo ni baadhi ya ID zake anajiita.1. Saigon2. Fellow Tablet pitia kwa makini hii thread halafu angalia hizo ID zote zinafanya kazi moja! Wewe jiulize inawezekana mtu anaogoza kuandika pumba humu JF, Halafu anaongoza kugongewa Thanks! anajigongea mwenyewe bana!with all due respect, mkuu wangu haya ni matusi makubwa sana kwa waislaam..
Kwa kawaida uongo huwa hauna uwezo wa kuhimili test of time. Leo asubuhi nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikakutana na habari ambayo imenishtua ya kwamba CHADEMA wamekana muafaka wa Umeya wa Arusha. Alipoulizwa Mbowe akajibu kuwa wanafanya uchunguzi juu ya suala hilo huku Lema akisema kuwa hatambui muafaka huo. Kitendo cha kutokuwepo kwa kauli thabiti inayoonekana kuwa imetokana na azimio la kikao rasmi, ni kielelezo cha kutoaminika kwa CHADEMA. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo: Kwanza, taarifa za kuwepo kwa muafaka tumezipata siku nyingi zilizopita. Kama muafaka huo ungekuwa ni batili, CHADEMA wangeukana immediately au hata kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya. Pili, kuna tofauti kubwa sana katika kauli kati ya Mbowe na Lema kitendo kinachoashiria kuwa kuna misimamo tofauti kati ya Mbowe na Lema. Tatu, inaonekana kuwa CHADEMA hawana shida na maendeleo bali wanataka mapinduzi bila ya kujali gharama zake. CDM wanatuhadaa! Hawaaminiki!!
Nasikitika kukwambia ndugu Mkandara kwamba hizi ndio post zinazopendwa hapa JF. naheshimu sana hoja zako na mimi ni mtu makini sana, lakini mtu anapokuja na hoja za kipuuzi kudharirisha imani za wenzake basi dawa ya moto ni moto no comprimise.with all due respect, mkuu wangu haya ni matusi makubwa sana kwa waislaam..
Mtu kama huyu unategemea apewe majibu gani? kwa nini mods wasiwe wa kwanza kufuta post kama hizi?with all due respect, mkuu wangu haya ni matusi makubwa sana kwa waislaam..
Sioni hoja ya msingi.... wewe unajaribu kufanya chunusi kuwa sawa na donda ndugu :A S 114:Kwa kawaida uongo huwa hauna uwezo wa kuhimili test of time. Leo asubuhi nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikakutana na habari ambayo imenishtua ya kwamba CHADEMA wamekana muafaka wa Umeya wa Arusha. Alipoulizwa Mbowe akajibu kuwa wanafanya uchunguzi juu ya suala hilo huku Lema akisema kuwa hatambui muafaka huo. Kitendo cha kutokuwepo kwa kauli thabiti inayoonekana kuwa imetokana na azimio la kikao rasmi, ni kielelezo cha kutoaminika kwa CHADEMA. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo: Kwanza, taarifa za kuwepo kwa muafaka tumezipata siku nyingi zilizopita. Kama muafaka huo ungekuwa ni batili, CHADEMA wangeukana immediately au hata kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya. Pili, kuna tofauti kubwa sana katika kauli kati ya Mbowe na Lema kitendo kinachoashiria kuwa kuna misimamo tofauti kati ya Mbowe na Lema. Tatu, inaonekana kuwa CHADEMA hawana shida na maendeleo bali wanataka mapinduzi bila ya kujali gharama zake. CDM wanatuhadaa! Hawaaminiki!!
Hiki si chama , ni genge la wanaharakati wahuni !
Naona dira imeanza kwenda mramaUlitaka andika Ignorance!? Madrasa ni tatizo kubwa ....
Ni kweli usemacho na ndo maana wajuzi wa mambo tunaiona kuwa siku za mbeleni itakuja kuwa bomu kuliko hata CCMSomebody got to give... Just put pressure far from DDM hakina wa kureact on time.
Wewe ni mjuzi wa kula pilau na kuvaa Tshirt na kofia za magamba, not otherwise.Ni kweli usemacho na ndo maana wajuzi wa mambo tunaiona kuwa siku za mbeleni itakuja kuwa bomu kuliko hata CCM