CHADEMA HAWAAMINIKI. Yes I said

kalikenye

JF-Expert Member
Dec 21, 2009
1,649
372
Kwa kawaida uongo huwa hauna uwezo wa kuhimili test of time. Leo asubuhi nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikakutana na habari ambayo imenishtua ya kwamba CHADEMA wamekana muafaka wa Umeya wa Arusha. Alipoulizwa Mbowe akajibu kuwa wanafanya uchunguzi juu ya suala hilo huku Lema akisema kuwa hatambui muafaka huo. Kitendo cha kutokuwepo kwa kauli thabiti inayoonekana kuwa imetokana na azimio la kikao rasmi, ni kielelezo cha kutoaminika kwa CHADEMA. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo: Kwanza, taarifa za kuwepo kwa muafaka tumezipata siku nyingi zilizopita. Kama muafaka huo ungekuwa ni batili, CHADEMA wangeukana immediately au hata kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya. Pili, kuna tofauti kubwa sana katika kauli kati ya Mbowe na Lema kitendo kinachoashiria kuwa kuna misimamo tofauti kati ya Mbowe na Lema. Tatu, inaonekana kuwa CHADEMA hawana shida na maendeleo bali wanataka mapinduzi bila ya kujali gharama zake. CDM wanatuhadaa! Hawaaminiki!!
 
Kwa kawaida uongo huwa hauna uwezo wa kuhimili test of time. Leo asubuhi nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikakutana na habari ambayo imenishtua ya kwamba CHADEMA wamekana muafaka wa Umeya wa Arusha. Alipoulizwa Mbowe akajibu kuwa wanafanya uchunguzi juu ya suala hilo huku Lema akisema kuwa hatambui muafaka huo. Kitendo cha kutokuwepo kwa kauli thabiti inayoonekana kuwa imetokana na azimio la kikao rasmi, ni kielelezo cha kutoaminika kwa CHADEMA. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo: Kwanza, taarifa za kuwepo kwa muafaka tumezipata siku nyingi zilizopita. Kama muafaka huo ungekuwa ni batili, CHADEMA wangeukana immediately au hata kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya. Pili, kuna tofauti kubwa sana katika kauli kati ya Mbowe na Lema kitendo kinachoashiria kuwa kuna misimamo tofauti kati ya Mbowe na Lema. Tatu, inaonekana kuwa CHADEMA hawana shida na maendeleo bali wanataka mapinduzi bila ya kujali gharama zake. CDM wanatuhadaa! Hawaaminiki!!

tuanze na hii ya kujivua gamba kwanza tupime kama kuna uaminifi, then tuangalie ishu nyengine.

kwani zimebaki siku ngapi kati ya 90 tulizoahidiwa?
 
Kwa kawaida uongo huwa hauna uwezo wa kuhimili test of time. Leo asubuhi nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikakutana na habari ambayo imenishtua ya kwamba CHADEMA wamekana muafaka wa Umeya wa Arusha. Alipoulizwa Mbowe akajibu kuwa wanafanya uchunguzi juu ya suala hilo huku Lema akisema kuwa hatambui muafaka huo. Kitendo cha kutokuwepo kwa kauli thabiti inayoonekana kuwa imetokana na azimio la kikao rasmi, ni kielelezo cha kutoaminika kwa CHADEMA. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo: Kwanza, taarifa za kuwepo kwa muafaka tumezipata siku nyingi zilizopita. Kama muafaka huo ungekuwa ni batili, CHADEMA wangeukana immediately au hata kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya. Pili, kuna tofauti kubwa sana katika kauli kati ya Mbowe na Lema kitendo kinachoashiria kuwa kuna misimamo tofauti kati ya Mbowe na Lema. Tatu, inaonekana kuwa CHADEMA hawana shida na maendeleo bali wanataka mapinduzi bila ya kujali gharama zake. CDM wanatuhadaa! Hawaaminiki!!

aKILi ZakO zipo kama za huyu
 
Kwa kawaida uongo huwa hauna uwezo wa kuhimili test of time. Leo asubuhi nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikakutana na habari ambayo imenishtua ya kwamba CHADEMA wamekana muafaka wa Umeya wa Arusha. Alipoulizwa Mbowe akajibu kuwa wanafanya uchunguzi juu ya suala hilo huku Lema akisema kuwa hatambui muafaka huo. Kitendo cha kutokuwepo kwa kauli thabiti inayoonekana kuwa imetokana na azimio la kikao rasmi, ni kielelezo cha kutoaminika kwa CHADEMA. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo: Kwanza, taarifa za kuwepo kwa muafaka tumezipata siku nyingi zilizopita. Kama muafaka huo ungekuwa ni batili, CHADEMA wangeukana immediately au hata kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya. Pili, kuna tofauti kubwa sana katika kauli kati ya Mbowe na Lema kitendo kinachoashiria kuwa kuna misimamo tofauti kati ya Mbowe na Lema. Tatu, inaonekana kuwa CHADEMA hawana shida na maendeleo bali wanataka mapinduzi bila ya kujali gharama zake. CDM wanatuhadaa! Hawaaminiki!!
mbona hujasema la waziri Mkulo,Ngereja na Mhando kila mtu akiwa na hamsini zake ebu tufafanulie hilo hukulisikia kwenye hiyo taarifa
 
Kwa kawaida uongo huwa hauna uwezo wa kuhimili test of time. Leo asubuhi nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikakutana na habari ambayo imenishtua ya kwamba CHADEMA wamekana muafaka wa Umeya wa Arusha. Alipoulizwa Mbowe akajibu kuwa wanafanya uchunguzi juu ya suala hilo huku Lema akisema kuwa hatambui muafaka huo. Kitendo cha kutokuwepo kwa kauli thabiti inayoonekana kuwa imetokana na azimio la kikao rasmi, ni kielelezo cha kutoaminika kwa CHADEMA. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo: Kwanza, taarifa za kuwepo kwa muafaka tumezipata siku nyingi zilizopita. Kama muafaka huo ungekuwa ni batili, CHADEMA wangeukana immediately au hata kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya. Pili, kuna tofauti kubwa sana katika kauli kati ya Mbowe na Lema kitendo kinachoashiria kuwa kuna misimamo tofauti kati ya Mbowe na Lema. Tatu, inaonekana kuwa CHADEMA hawana shida na maendeleo bali wanataka mapinduzi bila ya kujali gharama zake. CDM wanatuhadaa! Hawaaminiki!!

  1. Kila mtoto atakuwa na Laptop
  2. Umeme wa mgao utakuwa ni Historia
  3. Dodoma kutatengenezwa Ziwa na Meli kubwa italetwa
  4. Mwanza Itakuwa California
  5. Kigoma itakuwa Dubai
  6. Flyovers Dar es Salaam
  7. Ajila mpya kwa vijana Mil 2
  8. Bajaj kila kituo cha Afya
Inahitajika uwe taahira kama wewe ndipo utaelewa na kukubaliana na M.kwere
 
Unataka nani awaamini chadema, wananchi makini au kina nyie ambao mnakurupukia mambo, ambao kimsingi ni wazi umakini wenu unahojika.kwa mfano mapinduzi yamesemwa na nani kati ya waliohojiwa , lema na mbowe au unajisemea tu(baseless argument).tunaiamini chadema mno mno mno.
 
Kwa kawaida uongo huwa hauna uwezo wa kuhimili test of time. Leo asubuhi nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikakutana na habari ambayo imenishtua ya kwamba CHADEMA wamekana muafaka wa Umeya wa Arusha. Alipoulizwa Mbowe akajibu kuwa wanafanya uchunguzi juu ya suala hilo huku Lema akisema kuwa hatambui muafaka huo. Kitendo cha kutokuwepo kwa kauli thabiti inayoonekana kuwa imetokana na azimio la kikao rasmi, ni kielelezo cha kutoaminika kwa CHADEMA. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo: Kwanza, taarifa za kuwepo kwa muafaka tumezipata siku nyingi zilizopita. Kama muafaka huo ungekuwa ni batili, CHADEMA wangeukana immediately au hata kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya. Pili, kuna tofauti kubwa sana katika kauli kati ya Mbowe na Lema kitendo kinachoashiria kuwa kuna misimamo tofauti kati ya Mbowe na Lema. Tatu, inaonekana kuwa CHADEMA hawana shida na maendeleo bali wanataka mapinduzi bila ya kujali gharama zake. CDM wanatuhadaa! Hawaaminiki!!

Jamani mkija hapa njooni na akili .JF ukija kwa kubabaisha hutafika kokote .Sasa una post 2 unaanzza kulia na na Chadema . Upuuzi huu wa nini jadili hoja ama lete mada ya maana si ujinga huu kaka .
 
Kwanza, taarifa za kuwepo kwa muafaka tumezipata siku nyingi zilizopita. Kama muafaka huo ungekuwa ni batili, CHADEMA wangeukana immediately au hata kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya. Pili, kuna tofauti kubwa sana katika kauli kati ya Mbowe na Lema kitendo kinachoashiria kuwa kuna misimamo tofauti kati ya Mbowe na Lema. Tatu, inaonekana kuwa CHADEMA hawana shida na maendeleo bali wanataka mapinduzi bila ya kujali gharama zake. CDM wanatuhadaa! Hawaaminiki!!

hapa umenena kabisa! Chadema ni kama kichwa cha mwendawazimu!
 
Unataka nani awaamini chadema, wananchi makini au kina nyie ambao mnakurupukia mambo, ambao kimsingi ni wazi umakini wenu unahojika.kwa mfano mapinduzi yamesemwa na nani kati ya waliohojiwa , lema na mbowe au unajisemea tu(baseless argument).tunaiamini chadema mno mno mno.
Join Date : 22nd June 2011
Posts : 4
Thanks 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power : 0





siyo kosa lako! ukishatoka kwenye u-junior member utakuwa na akili
 
Safisha kwanza kwako ndo utoke nje na kuwaambia wengine wafanye usafi.Mmeshindwa safisha magamba yenu s unaongelea ya chadema
 
tafadhali tofautisha kati ya kauli ya chama na kauli ya mtu binafsi. Lema ameongea kama lema, vinginevyo angesema kuwa katumwa na chama chake. yupo msemaji mkuu-mwenyekiti/katibu mkuu wa chama.vuta subira kwanza.sikia wakuu wamesemaje kama kauli ya chama ndio utoe hoja yako.cdm kiko makini sana.
 
I thought hii ni forum ya the inteligent ones, kumbe ni forum ya Chadema, I do not support neither parties, Lakini what i see here ni Biasness, akiyukanwa wa ccm , wengi wamapiga vigelegel, Chadema ikiguswa kidogo MARUNGU MIKONONI. fOR YOUR INFORMATION Chadema has its short commings also. Yes wamekua na kigeugeu Arusha, na hatukubali kuharibiwa mji wetu
 
"I thought hii ni forum ya the inteligent ones, kumbe ni forum ya Chadema, I do not support neither parties, Lakini what i see here ni Biasness, akiyukanwa wa ccm , wengi wamapiga vigelegel, Chadema ikiguswa kidogo MARUNGU MIKONONI. fOR YOUR INFORMATION Chadema has its short commings also. Yes wamekua na kigeugeu Arusha, na hatukubali kuharibiwa mji wetu"

Huyu ni yule mbeba mbuzi mgongoni karudi na staili nyingine ya kutokuwa na chama. Jahazi la CDM linakata maji kwa kasi kuelekea magogoni!!
 
Kwa kawaida uongo huwa hauna uwezo wa kuhimili test of time. Leo asubuhi nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikakutana na habari ambayo imenishtua ya kwamba CHADEMA wamekana muafaka wa Umeya wa Arusha. Alipoulizwa Mbowe akajibu kuwa wanafanya uchunguzi juu ya suala hilo huku Lema akisema kuwa hatambui muafaka huo. Kitendo cha kutokuwepo kwa kauli thabiti inayoonekana kuwa imetokana na azimio la kikao rasmi, ni kielelezo cha kutoaminika kwa CHADEMA. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo: Kwanza, taarifa za kuwepo kwa muafaka tumezipata siku nyingi zilizopita. Kama muafaka huo ungekuwa ni batili, CHADEMA wangeukana immediately au hata kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya. Pili, kuna tofauti kubwa sana katika kauli kati ya Mbowe na Lema kitendo kinachoashiria kuwa kuna misimamo tofauti kati ya Mbowe na Lema. Tatu, inaonekana kuwa CHADEMA hawana shida na maendeleo bali wanataka mapinduzi bila ya kujali gharama zake. CDM wanatuhadaa! Hawaaminiki!!


Hiki si chama , ni genge la wanaharakati wahuni !
 
Naweza kuelewa kwa nini unasema CHADEMA hawaaminiki. Ni kwa sababu mlihonga watu fulani fulani ili wakubali kuwa Arusha kuna muafaka. Bila kushughulisha akili mkaamua tatizo la Arusha ni 'vyeo' na sio ukiukwaji wa taratibu na sheria za uchaguzi wa Mayor. Sasa mlungula umeingia mfuko na muafaka wenyu umegundulika ni hewa! Na hapa ndipo unalalamika maana huamini kuwa HELA hainunui akili wala utashi na hata madaraka!
 
tuanze na hii ya kujivua gamba kwanza tupime kama kuna uaminifi, then tuangalie ishu nyengine.

kwani zimebaki siku ngapi kati ya 90 tulizoahidiwa?

Hiyo ndiyo Kasera kwa Kichama kyetu??? Tuangalie Magamba wamefanya nini mhalafu sie ndio tuwe na dira? Basi kazi kwani hapo 2015 tutapoingia madarakani tutamwangalia nani ili tuendeshe nchi??
 
Naweza kuelewa kwa nini unasema CHADEMA hawaaminiki. Ni kwa sababu mlihonga watu fulani fulani ili wakubali kuwa Arusha kuna muafaka. Bila kushughulisha akili mkaamua tatizo la Arusha ni 'vyeo' na sio ukiukwaji wa taratibu na sheria za uchaguzi wa Mayor. Sasa mlungula umeingia mfuko na muafaka wenyu umegundulika ni hewa! Na hapa ndipo unalalamika maana huamini kuwa HELA hainunui akili wala utashi na hata madaraka!

Muungwana ni kauli! Rudi katika kauli zenu za nyuma baada ya hatuwa hii ya mwafaka na sasa mnabadilika . Hata hivyo hichi chama hakina msemaji maalum?? Inawezekana hii ikawa ni kauli ya mbabe mmoja tu!
 
Join Date : 22nd June 2011
Posts : 4
Thanks 0
Thanked 2 Times in 2 Posts
Rep Power : 0





siyo kosa lako! ukishatoka kwenye u-junior member utakuwa na akili



Hata wewe ulikuwa na tarehe na sababu za kujiunga. Cha msingi ni uhuru wa kujiunga na kuchukua nafasi ya kueleza kero, kufahamisha, kuburudika na kadhalika. Wajibu wa anaefatilia hoja ni kujibu hoja na unapokosa cha kujibu pita tu.
 
Muungwana ni kauli! Rudi katika kauli zenu za nyuma baada ya hatuwa hii ya mwafaka na sasa mnabadilika . Hata hivyo hichi chama hakina msemaji maalum?? Inawezekana hii ikawa ni kauli ya mbabe mmoja tu!
Chama Cha magamba ndicho kilichokosa msemaji inatokea mke wa raisi,watoto wa raisi wote wanaongea kama katibu mkuu wa CCm au Katibu Kiongozi pale Ikulu ha ha ha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom