mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
mkuu bora mzinifu anayependa nchi yake na kuionea huruma au bora mtakatifu anayeuza nchi yake??wabongo mmechanganyikiwa nyie,mmelogwa hamjui mlikotolewa wala mnakopelekwa
bill clinton bonge la mzinzi.! Mkewe anajua, wamarekani wanajua, na dunia inajua, but he remains among bes U.s presidents, go slaa, go, hata akijilengesha mwingine we piga tu