Ambitious
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,144
- 875
Watu kiduchuuuuu, ha ha haaaaaaaaaa jimbo limeisha ondoka
Mkuu mbona hawa wengi tu au mimi naona vibaya??
Watu kiduchuuuuu, ha ha haaaaaaaaaa jimbo limeisha ondoka
Kama wasanii vile. Wazuri katika siasa za majukwaani, lakini ki-uhalisia so empty au kwa vile kuna akina sugu.
Mkuu mbona hawa wengi tu au mimi naona vibaya??
Mi naona mbowe haaleweki vile wanaomshangilia mbona wachache.
Umati ungeonekana , hawa ni watu wa kawaida sana kwa idadi, ha ha haaaaa hakuna umati hapa aiseee