Chadema hakuna kurudi nyuma

furahi

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
945
195
Inashangaza sana kusikia watu wanavyoishutumu CHADEMA hawna nidhamu, ooh wanasambaratika mara Zitto anajitoa CHADEMA,mara oo mpasuko ndani ya CHADEMA na blah blah nyingi 2. Ikumbukwe chadema ni chama kilichozaliwa kipindi cha mfumo wa vyama vingi, tusiifananishe na CCM iliyozaliwa enzi za chama kimoja, enzi za kuchagua kati ya kivuli na binadamu wakati wa kupiga kura. Kipindi hicho watu wakiwa na akili mgando zenye mtazamo mmoja, hii ilikuwa rahisi sana kwa chama kukubalika na kuota mizizi na kustawi. Kipindi hiki cha CHADEMA ni kipindi kigumu cha purukushani nyingi kiasi kwamba si ajabu kusikia kiongozi kajitoa, mara kasaliti si ajabu. Kwani hao CCM ni wangapi wasioafikiana na maamuzi ya wakubwa zao? Mbona ni wengi tu? Mimi maoni yangu ni kwamba CHADEMA haina tatizo lolote na chini ya mpiganaji MBOWE tutafight mpaka mwisho. Viongozi wa CDM wanajitahidi sana kuwaweka pamoja viongozi wake na hata wanachama. Kutofautiana ni ki2 cha kawaida. Ni chama gani cha upinzani kiliwahi kuwa na mafanikio na umoja wa aina hii katika nchi hii? CHADEMA is still strong na wasifikiri itaishia hapa , we wont stop mpaka haki itakapopatikana.
 
Inashangaza sana kusikia watu wanavyoishutumu CHADEMA hawna nidhamu, ooh wanasambaratika mara Zitto anajitoa CHADEMA,mara oo mpasuko ndani ya CHADEMA na blah blah nyingi 2. Ikumbukwe chadema ni chama kilichozaliwa kipindi cha mfumo wa vyama vingi, tusiifananishe na CCM iliyozaliwa enzi za chama kimoja, enzi za kuchagua kati ya kivuli na binadamu wakati wa kupiga kura. Kipindi hicho watu wakiwa na akili mgando zenye mtazamo mmoja, hii ilikuwa rahisi sana kwa chama kukubalika na kuota mizizi na kustawi. Kipindi hiki cha CHADEMA ni kipindi kigumu cha purukushani nyingi kiasi kwamba si ajabu kusikia kiongozi kajitoa, mara kasaliti si ajabu. Kwani hao CCM ni wangapi wasioafikiana na maamuzi ya wakubwa zao? Mbona ni wengi tu? Mimi maoni yangu ni kwamba CHADEMA haina tatizo lolote na chini ya mpiganaji MBOWE tutafight mpaka mwisho. Viongozi wa CDM wanajitahidi sana kuwaweka pamoja viongozi wake na hata wanachama. Kutofautiana ni ki2 cha kawaida. Ni chama gani cha upinzani kiliwahi kuwa na mafanikio na umoja wa aina hii katika nchi hii? CHADEMA is still strong na wasifikiri itaishia hapa , we wont stop mpaka haki itakapopatikana.

Sijutii uamuzi wangu wa kusoma post yako, safi sana.
 
Inashangaza sana kusikia watu wanavyoishutumu CHADEMA hawna nidhamu, ooh wanasambaratika mara Zitto anajitoa CHADEMA,mara oo mpasuko ndani ya CHADEMA na blah blah nyingi 2. Ikumbukwe chadema ni chama kilichozaliwa kipindi cha mfumo wa vyama vingi, tusiifananishe na CCM iliyozaliwa enzi za chama kimoja, enzi za kuchagua kati ya kivuli na binadamu wakati wa kupiga kura. Kipindi hicho watu wakiwa na akili mgando zenye mtazamo mmoja, hii ilikuwa rahisi sana kwa chama kukubalika na kuota mizizi na kustawi. Kipindi hiki cha CHADEMA ni kipindi kigumu cha purukushani nyingi kiasi kwamba si ajabu kusikia kiongozi kajitoa, mara kasaliti si ajabu. Kwani hao CCM ni wangapi wasioafikiana na maamuzi ya wakubwa zao? Mbona ni wengi tu? Mimi maoni yangu ni kwamba CHADEMA haina tatizo lolote na chini ya mpiganaji MBOWE tutafight mpaka mwisho. Viongozi wa CDM wanajitahidi sana kuwaweka pamoja viongozi wake na hata wanachama. Kutofautiana ni ki2 cha kawaida. Ni chama gani cha upinzani kiliwahi kuwa na mafanikio na umoja wa aina hii katika nchi hii? CHADEMA is still strong na wasifikiri itaishia hapa , we wont stop mpaka haki itakapopatikana.

Haya ni mawazo yaliyotufikisha hapa hadi tunashindwa na somalia kiuchumi nchi ambayo haina serikali, CCm kweli kiboko maana kwa kupandikiza chuki na kugharimia FITINA kama ambazo zinafanywa na JK na maswahiba wake.

Hawamtaki mto ambaye anaonekana mchapa kazi, kama SITA na wengineo wo kazi yao kukumbati mafisadi na watu wasio na uchungu na nchi hii kama wasomali, wahindi, waarabu na wengineo.

Mimi nasema nitakiunga chama changu chadema hadi mwisho, maana kama si chadema hata hawa mafisadi tusingewajua na hata elimu inayotolewa sasa isingekuwepo.
Maana najua hata kama chadema ingekufa leo hii kila moja wetu ataikumbuka milele kwani imewapa watu elimu na kujiamini kuwahoji viongozi wao.
Tuiunge mkono chadema.

Peoples Power
 
Dear Brothers and sisters,

I once wrote that it will be hard to fabricate a party that is completely different from CCM. The reason is that most members have joined the party from CCM, which, inevitably was once the sole political party in the country. Most actions of CDM will be compared to what is done at CCM and what is taboo there is likely to be implied so in CDM. Most Tanzanians as well still have CCM lotion in parts of their bodies.

The main preocupation of those in this Party who understand what kind of a Party we want to amalgamate should stand firm and educate our fellow citizens that there is a different way and completely legal under the current system. The most distressing feeling is that of FEAR deeply entrenched in the mind of Tanzanians because of the barbaric nature of CCM actions to those who are pasieved to be dissidents. You can feel the muscle tremors of the CCM machinery when they appear in the TV to argue stupidly on matters they are incopetent to debate (ref: Mkuchika on TV the other day!!!).

Please, stand up and be counted. Fear not the threats because they come from a toothless dog that can not bite but intimidate. Be the player and not a spectator to the changes that are coming in this beautiful country of ours. If you joined the party with CCM mentality, I urge you to learn the tricks of the trade. If you can not be patient, you can as well leave and see the committed members do the job.
 
Back
Top Bottom