CHADEMA Haina Itikadi Kama Chama!

Tundu lissu na jusaa once aliulizwa sikuile jussa alisema wao ni wariberari sio wajamaa aucapitalism lissu alidai kuwa wao wanafuata itikadi ya nguvu ya umma aliboronga sana sikuile




Hakuna akili ndigo kama hii,ya kumsema Tundu Lissu kuwa tunafuata itikadi ya nguvu ya umma.

Watanzania wengi hushambikia chama bila kujua itikadi yake na ninaamini itikadi za vyama haiwezi kuonekana chadema ikishambuliwa kwa kejeli hivi,yote haya ni sababu chadema imekuwa tishio kwa ccm,

Maelezo na kila aina ya uzandiki utasemwa,itoshe tu kusema chadema inasera,itikadi na falsafa bora kabisa,isiyoegemea upande wowote
 
CDM ni chama bora kabisa chenye itikadi safi na yenye manufaa kwa vizazi vya sasa na vya baadaye.Duniani kwa sasa hakuna ujamaa Bali ujamaa ulioboreshwa.CDM tunafuata itikadi ya mlengo wa kati na ndio bora kwa maendeleo ya sasa ya taifa letu
 
CDM ni chama bora kabisa chenye itikadi safi na yenye manufaa kwa vizazi vya sasa na vya baadaye.Duniani kwa sasa hakuna ujamaa Bali ujamaa ulioboreshwa.CDM tunafuata itikadi ya mlengo wa kati na ndio bora kwa maendeleo ya sasa ya taifa letu

Hivi saccos nayo ina itikadi
 
Kuna raia humu zinakurupuka kams swala alietimuliwa na chui ili mradi kapost kitu,au malipo ni kwa idadi ya post nin ? Wale walee ingawa kwetu hatunao na hatuwahitaji
 
Nimepitia kwa Umakini Katiba ya CHADEMA tofauti na matarajio ya Chama chochote cha Siasa lazima kuweka msimamo wake hasa mlengwa wa Kiitikadi!

CHADEMA haijaweka wazi kama ni Chama cha Kijamaa au ni Chama Cha Kibepari! Tofauti na CCM ambao wao Wanasema ni Chama cha Kijamaa japokuwa Ujamaa walisha Uweka kando!

Vyama vingi duniani huonesha mlengo wake hasa kama ni kuamini Ubepari au Ujamaa! Hata marafiki zao wa Ujerumani na Uingereza wamebainisha mlengo wa Vyama vyao!

Wanachama wa
CHADEMA walio wengi hata hapa JF hawajui Itikadi ya Chama Chao(Inasikitisha sana)! Hakuna tofauti kati ya CHADEMA na Timu ya Simba wala Yanga kwani hawana Itikadi!

My Take:
CHADEMA ijipambanua ina itikadi gani Ujamaa au Ubepari! Wanachadema jiulizeni Itikadi ya Chama chenu ni ipi?


Wanavyomuogopa Mungu wao Mbowe hao, hakuna hata mmoja anayeweza kunyanyua mkono kikaoni akauliza, si Lissu, Mnyika wala Salum, wote ni waoga ile mbaya! hicho ndio chama cha ki DEMOKRASIA bana!
 
Wanavyomuogopa Mungu wao Mbowe hao, hakuna hata mmoja anayeweza kunyanyua mkono kikaoni akauliza, si Lissu, Mnyika wala Salum, wote ni waoga ile mbaya! hicho ndio chama cha ki DEMOKRASIA bana!

Kwa hiyo na hao mabwana zako waliogopa kuuliza vikaoni? Ayatoullaaah na wenzake walikuwa wajumbe wa kamati kuu, kwa mini hawakuuliza na wao? huna hoja kibaraka was mafisadi wewe!
 
Kwa hiyo na hao mabwana zako waliogopa kuuliza vikaoni? Ayatoullaaah na wenzake walikuwa wajumbe wa kamati kuu, kwa mini hawakuuliza na wao? huna hoja kibaraka was mafisadi wewe!

ACT wazalendo. vp Ndesapesa naona anaamua kumrithisha ubunge amtakaye! hicho ndio chama cha ki DEMOKRASIA bana!
 
nyerere akiwa hai aliikubali sana itikadi ya CDM,ni itikadi iliyobeba uhalisia wa wakati huu,huwezi ukasema unajenga chama chenye itikadi ya kijamaa kwa hali halisi ya dunia ya sasa ya soko huria,ni UONGO wa mchana mchana.
 
Kumekuwa Na mijadala mbalimbali hivi sasa baada ya ujio wa Act-wazalendo Na itikadi Yao ujamaa wa kidemokrasia almaaruf Kama mrengo wa kati kushoto,lakini natatizwa Na jambo moja wakati Fulani kulikuwa Na mdahalo kuhusu itikadi uliokuwa ukiongozwa Na dada Rose Mwakitwange Ccm ikiwakilishwa Na Nape Nnauye,Cdm Na Mabere Marando Na Cuf ikiwakilishwa Na Ismail Jussa,
nakumbuka Kama sikosei Cdm kupitia Marando walisema itakadi Yao mrengo wa kati kushoto ambao ndio mrengo wa Act-wazalendo,naomba kuuliza kwa wana Chadema itikadi yenu Ni ipi maana hatujasikia hata mara moja kutoka viongozi wakuu wakiizungumzia itikadi ya Chama.
 
Kumekuwa Na mijadala mbalimbali hivi sasa baada ya ujio wa Act-wazalendo Na itikadi Yao ujamaa wa kidemokrasia almaaruf Kama mrengo wa kati kushoto,lakini natatizwa Na jambo moja wakati Fulani kulikuwa Na mdahalo kuhusu itikadi uliokuwa ukiongozwa Na dada Rose Mwakitwange Ccm ikiwakilishwa Na Nape Nnauye,Cdm Na Mabere Marando Na Cuf ikiwakilishwa Na Ismail Jussa,
nakumbuka Kama sikosei Cdm kupitia Marando walisema itakadi Yao mrengo wa kati kushoto ambao ndio mrengo wa Act-wazalendo,naomba kuuliza kwa wana Chadema itikadi yenu Ni ipi maana hatujasikia hata mara moja kutoka viongozi wakuu wakiizungumzia itikadi ya Chama.

jenga tabia ya kusoma katiba za vyama

3.B. Itikadi ya CHADEMA

3.1.1 CHADEMA ni chama cha itikadi ya MRENGO WA KATI (centerparty).

3.1.2 CHADEMA ni chama kinachoamini kukuza na kuimarisha uchumi wanchi kwa kutumia raslimali za nchi yetu bila kuathiri uhuru wa Taifa,na kuhakikisha kuwa umma kwa ujumla unanufaika na raslimali zao.

3.1.3CHADEMA inaamini katika kujenga na kuimarisha uchumi wa sokohuru, utakaoheshimu na kulinda haki na mali za watu, biashara huruna sekta ya watu binafsi bila kupoka mamlaka ya umma katikamaeneo nyeti hususani pale penye hitilafu ya soko au penye maeneonyeti ya kiuchumi. Tunaamini katika soko huru sio soko holela.

3.1.4 CHADEMA inaamini kuhakikisha matumizi bora ya raslimali asilia zanchi ili zichangie kikamilifu katika pato la taifa na hasa kuboreshahuduma za kiuchumi zinazotumiwa na wananchi wote.

3.1.5CHADEMA inaamini katika uzalendo na kuthamini mila na desturizetu zilizo nzuri.

3.1.6 CHADEMA inaamini katika uhuru chini ya sheria zilizo za haki.

3.1.7 CHADEMA inaamini katika siasa ambazo ziko juu ya vyama zenyekusimamia zaidi maslahi ya Taifa.

3.1.8 CHADEMA inaweka umuhimu wa pekee katika familia kama moja yataasisi muhimu ya kijamii.

3.1.9 CHADEMA inaamini katika umuhimu wa uhuru wa kuamini katikakujenga maadili ya mwanajamii mmoja mmoja bila kuifanya dini kuwasehemu ya dola.

3.1.10 CHADEMA inaamini taifa linaundwa na watu, hivyo uhai wakeunawategemea watu, na mabadiliko yake yanatokana na watu.

3.1.11 CHADEMA inaamini katika kujenga uwezo wa wazawa katikakumiliki na kuendesha uchumi.

3.1.12 CHADEMA inaamini kumiliki raslimali na mali miongoni mwawananchi kunawapa uhuru zaidi hivyo tunataka kujenga chama na baadaye taifa lenye kutoa fursa, ambapo kila mtu bila kujali asili nahali yake anaweza kutimiza na kufanikiwa kadiri ya vipaji vyake.


http://www.chadema.or.tz/cdmdownloads/katibayachadema.pdf
 
Elimu ya itikadi ya kisiasa (political ideology) ya vyama sio elimu rahisi. Inahitaji mtu atulie aisome aielewe aubaeleweshwe. Milengo ya kisiasa ya vyama ipo mitatu (right, left au centre) lakini kunaweza kuwa na centre-right au centre-left. Katiba ya CDM imeeleza ipo wapi katika hizi kambi tano za political ideology. Kutoelewa kwako usipotoshe. Watanzania wavivu wa kusoma. Una access na mtandao so take 10 minutes to read around what's being centrist party. You would've said hujaelewa itikadi ya CDM na sio CDM haina itikadi.
 
Back
Top Bottom